Paap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,493
- 1,401
Mmh mwandiko wako ngumu kusoma na kuelewa hapo hapo.
Sina ushauri maana una kesi ya ubakaji kwa huyo wa form four. Kujipendekeza kwenye familia ya rafiki yako kunakuponza,mazoea mabaya yaan kila weekend upo kiguu na njia kwa familia ya mwenzio kwann usianzishe yako!! Huna hata mwanamke wa kuzugia
Tafuta mwanamke wa kukuepusha na hilo janga,kiboko ya mwanamke ni mwanamke mwenyewe. Au kama vipi mpe dada yako simu akutoe kwenye huo msala wa kujitakia
Akuchukue wewe uwe wa kuzugia