ze jackal
JF-Expert Member
- Nov 13, 2013
- 528
- 174
Kinachomsumbua huyu jamaa ni inferiority complex tu bhaaasi!!
Yawezekana yeye ni div 5 hivyo anajihisi mnyonge kuoa binti anaemzidi kidato hivyo sura ni kisingizio tu.
Yawezekana jamaa anahulka ya kunyanyasa mabinti sasa kakutana na anayejielewa na anapesa zake hayumbishi hivyo mchizi anaona atashindwa kufanya yake ndo maana amemkomalia huyo kilaza.
La sivyo we jamaa ni pimbi 1st class na utoto umekujaa (sorry)
Nikupe mfano.
Kuna rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili lakini kila akimshauri mkewe wa ndoa wachukue mkopo(wanafanya kazi ofisi moja) waanzishe mradi wa familia anaulizwa,'JE TUKIACHANA ITAKUWAJE?'
Jamaa ameamua kumpiga chini rasmi before June this year huyo binti ni kisu balaa awali nilidhani utumbo wake huwa haupitishi mihogo.
Any ways, Kama unaona manyoya yenu hayafanani,usilazimishe kuruka naye.Opoa huyo kilaza lakini tegemea kuwa na watoto vilaza as well.
Yawezekana yeye ni div 5 hivyo anajihisi mnyonge kuoa binti anaemzidi kidato hivyo sura ni kisingizio tu.
Yawezekana jamaa anahulka ya kunyanyasa mabinti sasa kakutana na anayejielewa na anapesa zake hayumbishi hivyo mchizi anaona atashindwa kufanya yake ndo maana amemkomalia huyo kilaza.
La sivyo we jamaa ni pimbi 1st class na utoto umekujaa (sorry)
Nikupe mfano.
Kuna rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili lakini kila akimshauri mkewe wa ndoa wachukue mkopo(wanafanya kazi ofisi moja) waanzishe mradi wa familia anaulizwa,'JE TUKIACHANA ITAKUWAJE?'
Jamaa ameamua kumpiga chini rasmi before June this year huyo binti ni kisu balaa awali nilidhani utumbo wake huwa haupitishi mihogo.
Any ways, Kama unaona manyoya yenu hayafanani,usilazimishe kuruka naye.Opoa huyo kilaza lakini tegemea kuwa na watoto vilaza as well.