Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

Kinachomsumbua huyu jamaa ni inferiority complex tu bhaaasi!!

Yawezekana yeye ni div 5 hivyo anajihisi mnyonge kuoa binti anaemzidi kidato hivyo sura ni kisingizio tu.

Yawezekana jamaa anahulka ya kunyanyasa mabinti sasa kakutana na anayejielewa na anapesa zake hayumbishi hivyo mchizi anaona atashindwa kufanya yake ndo maana amemkomalia huyo kilaza.

La sivyo we jamaa ni pimbi 1st class na utoto umekujaa (sorry)

Nikupe mfano.

Kuna rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili lakini kila akimshauri mkewe wa ndoa wachukue mkopo(wanafanya kazi ofisi moja) waanzishe mradi wa familia anaulizwa,'JE TUKIACHANA ITAKUWAJE?'

Jamaa ameamua kumpiga chini rasmi before June this year huyo binti ni kisu balaa awali nilidhani utumbo wake huwa haupitishi mihogo.


Any ways, Kama unaona manyoya yenu hayafanani,usilazimishe kuruka naye.Opoa huyo kilaza lakini tegemea kuwa na watoto vilaza as well.
 
Tunaposema kuna wanaume waaribifu watu wanabisha, sasa huyu si muaribifu tu, kama humpendi mtu uliwezaje ku do nae????????????? ulilewa??????????? sioni cha kukushauri zaidi kama unaona roho yako haipo kwa huyo dada tafadhali muache mapema ili usije kumzalisha watoto wengi alafu ukamsumbua baadaye, mwache fungu lake bado lipo mungu atamuonyesha.

upendo hutoka ndani ya moyo, hakuna upendo wa kushauriwa.

Inaonyesha hutaki utani aisee.
 
Nimekuja kwenu wanajamvi kutaka ushauri kutoka kwa kila mmoja wenu.

Ni kwamba kuna demu nilikutana nae hapa town Dar es salaam mwaka juzi wakati yeye amemalza chuo UDSM.Sasa kiukweli nilimtamani tu sikumpenda toka moyoni nami kipindi hicho nilikuwa sina mtu sasa nikamtongoza akanikubalia na kiukwel alinipenda na ananipenda sana tena zaidi ya sana,akusita kunipa tunda la kati kati baada ya yeye kuajiliwa yeye alipata Iringa kazi so akaenda nami nikabaki DSM naendelewa na mishemishe zangu za kuuza nguo dukani kwangu.

Ikapita kama miezi miwili akaniambia ana mimba na akaniambia nisiwe na wasiwasi kama sina hela ya kumlea mtoto yey ingawa kwao mpaka saiz sijaenda kujitambulisha kwa kuwa ana ajira haita kuwa tatzo kabisa sababu anamshara mzuri so kwa kpnd ambacho tulikuwa mbali mbali nilikutana na mrembo ambae ndio nimempenda kwa dhat lakini yeye hana kazi cause alifeli huko O level.

Sasa niko njia panda naitaji mnisaidie kunionyesha direction wakuu cause yule demu wangu saizi anamtoto wangu ila ndo ananipenda sana ingawa mi sijapenda sana yani sio kwa dhat ingawa huwa akipata mshahara vi laki laki huwa ananirushia sana yani kiukweli ananipenda na saizi anasema anataka akope mkopo wa mili 7 anipe niongezee kwenye biashara yangu ili ikue zaidi ila naogopa kuchukua hizo hela.

Alafu badae nimwambie kuwa simuitaji na anaweza akazimia kwa jinsi anavyonipenda ila nngekuwa nae nahis tungepata mafanikio haraka sana ila ndo hiyvo sijampenda kutoka moyoni sio nimekuja kuomba ushauri kwenu wakuu kama niendelee nae au nimuache mapema kabla penzi letu alijaota mizizi na kunipa hyo miela then niwe na huyo mrembo mwngne ambae ndo nampenda kwa dhat ila hana mawazo makubwa kimaisha.

Natanguliza shukurani zangu za awali.



bila shaka utakua panya road ww..
 
Mke wa kuoa hatakiwi kuwa mzuli sana atakusumbu awe wa kawaida ,
Kupendwa ni bahati huyo anaye mpenda wewe inawezekana akawa hakupendi sikuyasiku ata kuacha atakwenda anako pendwa.
Silaha ni kupendwa ndiyo usalama wa ndoa siyo kupenda utajuta unayempenda naye anamtu mwingine anaye mpenda
 
Ukioa mwanamke anayekupenda utapatavraha sana kuliko unayempenda.hiyo ndoa haitakuwa nashida.hivi ukioa mwanamke unayempenda alafu akawa mzigo kwako maishani jiulize utapata faida gani? Mbona wao wakishagundua tuna fedha wanatupenda hata kama tuna kengeza?
 
Ufikie wakati watu wawe wanaheshimu hisia za wenzi wao....kwani haya mambo si ya kimchezo mchezo...yanaweza yakakusababishia madhara makubwa kuliko unavyodhani....unaonyesha dhahiri kuwa mtoa mada amewakwa na tamaa ya ngono kiasi kwamba kila mwanamke unataka kumchungilia...bado hujui maana ya mapenzi..bado hujafahamu ni namna gani mapenzi yanautesa moyo...kwa kifupi bado upo gizani...na unahitaji tuition ya mapenzi....
Wahenga walisema..unaposhikwa shikamana...
Hata kama huyo dada humpendi kwanini pia usiangalie na mustakabali wa maisha ya mtoto wenu au mtoto nae humpendi....??
Nisiandike mengi inawezekana hii ikawa ni hadithi ya kutunga..maana siku hizi jf kuna watunzi mahiri sana....ila kama ni kweli tafuta muda uongee na mzazi mwenzio mada ya msingi iwe ni kuhusu mwanenu...

sawa mkuu ila kila nikimwangalia yule bint mwingne roho inashndwa kabisa kuwa mbali nae
 
Kinachomsumbua huyu jamaa ni inferiority complex tu bhaaasi!!

Yawezekana yeye ni div 5 hivyo anajihisi mnyonge kuoa binti anaemzidi kidato hivyo sura ni kisingizio tu.

Yawezekana jamaa anahulka ya kunyanyasa mabinti sasa kakutana na anayejielewa na anapesa zake hayumbishi hivyo mchizi anaona atashindwa kufanya yake ndo maana amemkomalia huyo kilaza.

La sivyo we jamaa ni pimbi 1st class na utoto umekujaa (sorry)

Nikupe mfano.

Kuna rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili lakini kila akimshauri mkewe wa ndoa wachukue mkopo(wanafanya kazi ofisi moja) waanzishe mradi wa familia anaulizwa,'JE TUKIACHANA ITAKUWAJE?'

Jamaa ameamua kumpiga chini rasmi before June this year huyo binti ni kisu balaa awali nilidhani utumbo wake huwa haupitishi mihogo.


Any ways, Kama unaona manyoya yenu hayafanani,usilazimishe kuruka naye.Opoa huyo kilaza lakini tegemea kuwa na watoto vilaza as well.

hapana mkuu hata mie nna profesion yangu nzuri tu ila ndo ajira kitendawil ndo ninauza hii midosho
 
Hili ni tatzo. Kaka uta fel. Kuwa makini maisha mafupi haya usiji complicate mambo ndugu yangu
 
Nimekuja kwenu wanajamvi kutaka ushauri kutoka kwa kila mmoja wenu.

Ni kwamba kuna demu nilikutana nae hapa town Dar es salaam mwaka juzi wakati yeye amemalza chuo UDSM.Sasa kiukweli nilimtamani tu sikumpenda toka moyoni nami kipindi hicho nilikuwa sina mtu sasa nikamtongoza akanikubalia na kiukwel alinipenda na ananipenda sana tena zaidi ya sana,akusita kunipa tunda la kati kati baada ya yeye kuajiliwa yeye alipata Iringa kazi so akaenda nami nikabaki DSM naendelewa na mishemishe zangu za kuuza nguo dukani kwangu.

Ikapita kama miezi miwili akaniambia ana mimba na akaniambia nisiwe na wasiwasi kama sina hela ya kumlea mtoto yey ingawa kwao mpaka saiz sijaenda kujitambulisha kwa kuwa ana ajira haita kuwa tatzo kabisa sababu anamshara mzuri so kwa kpnd ambacho tulikuwa mbali mbali nilikutana na mrembo ambae ndio nimempenda kwa dhat lakini yeye hana kazi cause alifeli huko O level.

Sasa niko njia panda naitaji mnisaidie kunionyesha direction wakuu cause yule demu wangu saizi anamtoto wangu ila ndo ananipenda sana ingawa mi sijapenda sana yani sio kwa dhat ingawa huwa akipata mshahara vi laki laki huwa ananirushia sana yani kiukweli ananipenda na saizi anasema anataka akope mkopo wa mili 7 anipe niongezee kwenye biashara yangu ili ikue zaidi ila naogopa kuchukua hizo hela.

Alafu badae nimwambie kuwa simuitaji na anaweza akazimia kwa jinsi anavyonipenda ila nngekuwa nae nahis tungepata mafanikio haraka sana ila ndo hiyvo sijampenda kutoka moyoni sio nimekuja kuomba ushauri kwenu wakuu kama niendelee nae au nimuache mapema kabla penzi letu alijaota mizizi na kunipa hyo miela then niwe na huyo mrembo mwngne ambae ndo nampenda kwa dhat ila hana mawazo makubwa kimaisha.

Natanguliza shukurani zangu za awali.



Mkuu humu wewe ni matorokoko wa pili. Unaamua kupitia watoto wa watu bila hata kutumia ndomu? una mpango wa kupitia wangapi kwa style hiyo?
 
Mkuu jamiimemba hebu tupia picha za wote hapa tukushauri vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Wavulana wengine tabu tupu. Kwanza wewe ni mchepukaji mzuri na pia bado hujajitambua. Huyo unayesema kaishia four utakuja kumwacha kama unavyotaka kumwacha huyo. Huyo unayesema ni mzuri vipi akiungua na maji utamsifia pia?
 
Hapo ndio unakosea,WIFE MATERIAL ni tabia,SURA hata VYANGUDOA wanazo!Acha perception za ujana,hiyo ni bahati usiichezee!

Mkuu Waballa, ni mara chache sana waliobahatika huweza KUMAIZI kuwa hii ni Bahati napaswa kuitumia. Mara nyingi bahati ukiipata huiona mtu alie kando, muhusika huwa mara nyingi hilo halijui.Lakini huja kujua inapokuwa imeondoka kwenye himaya yake. Huyu muungwana anaingia ktk kundi hili.Na nnachokiona mbele ya safari huyu mshikaji atarudi kwa huyu mwanamke ( kama itatokea atamuacha na kwenda kwa huyu aliyempenda) lkn itakuwa kachelewa. Maana wachache wanaojua maana ya bahati watakuwa washamchukua.Hili neno halianguki. "Ule msemo wa ukishikwa shikamana" muungwana umempitia mbali.NAKUBALI MISEMO YA WAHENGA,".... KWELI. KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI.
 
Lazimimisha kumpenda huyo mwenye mshiko, kwanza tayari umezaa nae, pili hela ipo. Kwanza wewe ni kabila gani? Mbona unataka kupishana na hela?

Ajabu sana mkuu,..yaani anaziacha pesa anaenda mahali ambapo atapeleka pesa... Kama si kufilisiwa kabisa. Aisee!! Kweli kuishi kwingi kuona mengi.
 
Mkuu Waballa, ni mara chache sana waliobahatika huweza KUMAIZI kuwa hii ni Bahati napaswa kuitumia. Mara nyingi bahati ukiipata huiona mtu alie kando, muhusika huwa mara nyingi hilo halijui.Lakini huja kujua inapokuwa imeondoka kwenye himaya yake. Huyu muungwana anaingia ktk kundi hili.Na nnachokiona mbele ya safari huyu mshikaji atarudi kwa huyu mwanamke ( kama itatokea atamuacha na kwenda kwa huyu aliyempenda) lkn itakuwa kachelewa. Maana wachache wanaojua maana ya bahati watakuwa washamchukua.Hili neno halianguki. "Ule msemo wa ukishikwa shikamana" muungwana umempitia mbali.NAKUBALI MISEMO YA WAHENGA,".... KWELI. KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI.

Kalamzuvendi umetoa pointi nzuri,huyu mkuu akizembea hiyo nafasi hapati tena MKE MWEMA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom