Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Mleta uzi for once nimeona jinsi fikra za watu zilivyounganika hapa JF na kama unajitambua na ni mwanaume ulokamilika utasikiliza ushauri unaopewa....Usibabaike na muonekano wa nje hujafa hujaumbika mwanaadamu hajakamilika kesho huyo unaemuona dhahabu akibovuka utamuacha??....Chagua kuwa na mtu anayekuthamini,anayekupenda na anayekuhitaji....mtu anayekupenda anakuwa bega na bega na wewe kwenye misukosuko yote na ni huyo ulomimbisha...Wanaume wengine mnanishangaza mno na ww hata si wa kwanza......mpo wengi tu wa dizain yako lakini dah....