Chandaruaz
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 235
- 36
nimekuja kwenu wanajamv kutaka ushauri kutoka kwa kila mmoja wenu,ni kwamba kuna demu nilikutana nae hapa town dsm mwaka juzi wakat yey amemalza chuo udsm sasa kiukwel nilimtamani tu ckumpenda toka moyoni nami kipnd hcho nilikuwa cna mtu sasa nikamtongoza akanikubalia na kiukwel alinipenda na ananipenda sana tena zaid ya sana,akusita kunipa tunda la kati kati baada ya yeye kuajiliwa yey alipata iringa kazi so akaenda nami nikabaki dsm naendelewa na mishemishe zangu za kuuza nguo dukani kwangu ikapta kama miezi 2 akaniambia mimba na akaniambia nisiwe na wasiwasi kama sina hela ya kumlea mtoto yey ingawa kwao mpaka saiz cjaenda kujitambulisha kwa kuwa ana ajira haita kuwa tatzo kabisa coz anamshara mzuri so kwa kpnd ambacho tulikuwa mbali mbali nilikutana na mrembo ambae ndo nimempenda kwa dhat lakn yey hana kaz coz alifel huko o level sasa niko njia panda naitaji mnisaidie kunionyesha direction wakuu coz yule demu wangu saiz anamtoto wangu ila ndo ananipenda sana ingawa mi cjapenda sana yan co kwa dhat ingawa huwa akipata mshahara vi laki laki huwa ananirushia sana yan kiukwel ananipenda na saiz anasema anataka akope mkopo wa mili 7 anipe niongezee kwenye biashara yangu ili ikue zaid ila naogopa kuchukua hzo hela alaf badae nimwambie kuwa cmuitaji na anaweza akazimia kwa jinsi anavyonipenda ila nngekuwa nae nahis tungepata mafanikio haraka sana ila ndo hvo cjampenda kutoka moyoni so nimekuja kuomba ushauri kwenu wakuu kama niendelee nae au nimuache mapema kabla penz letu alijaota miziz na kunipa hyo miela then niwe na huyo mrembo mwngne ambae ndo nampenda kwa dhat ila hana mawazo makubwa kimaisha...natanguliza shukuran zangu za awali ..
by john s
Katka mabwegeregeje naww ni mmoja wapo kazi ya mwanaume ni kusaka hela sio kupenda kupenda waachie wanawake afu waswahili wanakamsemo penda unapopendwa tena wakaongeza kengine ukishikwa shikamana
watu wanalia wapate wanapopendwa yeye anataka anapopenda!!!
ole qake aoe huyo anayemtaka halafu binti agundue anapendwa!!! kila siku atakuwa mleta uzi hapa!!!
kitabia na upendo kwangu nina appriciate ila kimuonekano wake cjampenda kutoka moyoni mkuu
kitabia na upendo kwangu nina appriciate ila kimuonekano wake cjampenda kutoka moyoni mkuu
sawa mkuu lakn nahis after some years uzalendo unaweza ukanishnda nkachepuka
Chukua mwenye MPUNGA mfanye maisha!Kuoa maskini mwenzio ni taabu tupuukiona hayakuhusu anapta kimya kimya tu mkuu co lazma ucoment
Mkuu nasikitika lakini pia nafurahi kukwambia kuwa wewe bado hujakua. Bado mtoto wewe na hujui maana ya ndoa.
1. Kuchepuka ni maamuzi na haina uhusiano na kuoa mke anaye kuvutia kwa sura na maumbile. Una uhakika gani kuwa ukioa huyo unaye muona ni mzuri hauto chepuka? Hakuna mwanamke mzuri duniani, ukiwa na fikra hizo siku utakutana na mzuri zaidi ya huyo kilaza wako aliye ishia kidato cha IV, sujui utamuacha kisa umepata mzuri zaidi yake
2. Aliye kwambia uzuri ndio utakuza familia bora ni nani? Maisha ya sasa magumu kuanzia malezi Mpaka matunzo ya watoto, sasa wewe oa huo mzigo ambao mwenyewe unasema hauna akili ya maisha halafu uone
3. Mkisha zoeana Ndani ya ndoa uzuri unakuwa sio ishu tena bali tabia ndio inakuwa jambo la muhimu.
Nakushauri muoe huyo unayesema ni mzuri maana ndio unalotaka kufanya kwasababu unatumia akili za Ujana za vijiweni. Kila la kheri kwenye kujizamisha kimaisha
kitabia na upendo kwangu nina appriciate ila kimuonekano wake cjampenda kutoka moyoni mkuu