Naombeni ushauri,nataka kununua simu za Infinix

Tupe elimu kidogo basi mkuu kuhusu hilo
Mkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zao

Iyo kampuni inamiliki brand za simu na vifaa mbalimbali bya umeme kwa majina tofauti tu, nchi za Asia, india na Africa.

Tecno, infinix, itel zote zao, kule india wana simu za majina kama Spice. Lakini pia hawa jamaa wana vifaa mbalimbali kwa jina la Oramia

Sasa umewai kukutana na brand ya Synix? Imejaaa mjini saizi TV, Friji, AC, tena flat screen zake zimejaa K.koo. wote hao wanatoka nyumbani kwao tecno. Kampuni moja inatengemeza kwa majina tofauti na kuuza nchi tofauti
 
Mkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zao

Iyo kampuni inamiliki brand za simu na vifaa mbalimbali bya umeme kwa majina tofauti tu, nchi za Asia, india na Africa.

Tecno, infinix, itel zote zao, kule india wana simu za majina kama Spice. Lakini pia hawa jamaa wana vifaa mbalimbali kwa jina la Oramia

Sasa umewai kukutana na brand ya Synix? Imejaaa mjini saizi TV, Friji, AC, tena flat screen zake zimejaa K.koo. wote hao wanatoka nyumbani kwao tecno. Kampuni moja inatengemeza kwa majina tofauti na kuuza nchi tofauti
Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwani
 
IMG_20171117_230122_102.jpg
Tupe elimu kidogo basi mkuu kuhusu hilo
Mkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zao

Iyo kampuni inamiliki brand za simu na vifaa mbalimbali bya umeme kwa majina tofauti tu, nchi za Asia, india na Africa.

Tecno, infinix, itel zote zao, kule india wana simu za majina kama Spice. Lakini pia hawa jamaa wana vifaa mbalimbali kwa jina la Oramia

Sasa umewai kukutana na brand ya Synix? Imejaaa mjini saizi TV, Friji, AC, tena flat screen zake zimejaa K.koo. wote hao wanatoka nyumbani kwao tecno. Kampuni moja inatengemeza kwa majina tofauti na kuuza nchi tofauti

Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwani

Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwani
 
Niko na simu brand tofauti tofauti kutoka Zanzibar..so atakaehitaji namualika kwenye group la WhatsApp..ambako huko ataona na kupendekeza simu aitakayo nimtafutie...
Wasiliana nami kwa namba yangu ya WhatsApp hapo chini ili nikuunge kwenye group moja kwa moja...
Kumbuka sio simu tu..vitu vyote vya umeme tunaweza fanya biashara.. laptops TVs na kadharika.
0716403314 (kwa kupiga)
0625882454 (== kwa WhatsApp)
 
Habari ndugu na jamaa,juzi nimeuza simu yangu ila nimependa hizi simu za Infinix ila sijajua ipi nzuri,kuna simu moja nimeona hapa
Sifa na uwezo wa Infinix Hot 5 X559c ~ SmatSkills ina vigezo vingi kasoro kamera ina MP8,kwa mzoefu wa hizi simu naomba muongozo naitaka hiyo je itanifaa??
Asanteni sana

Unatulazimiasha tutembeleee blog yako sio kwa njia hiyo , kuna haja gani ya kuweka link ya blog yako hapo @smartskills
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom