Typical Tz
Member
- Sep 13, 2011
- 45
- 4
Kaa na mkeo!Vunja ukimya zungumza naye,kila mtu atoe dukuduku lake! ili kama uliwahi kumtendea mabaya omba msamaha yataisha! Kumbuka Ndoa ni ya WAWILI huku Mungu akiwa kati yenu! Nakushauri kama inawezekana tafuteni mahali palipo na utulivu mbali na nyumbani ili mkapate kuzungumza vizuri kila mmoja atoe aliyonayo! then msameheane na kuanza upya! Usikimbilie kushtaki kwa wazazi ,ndio maana ya kuwaacha babayo na mamayo na kuambatana na mkeo, pia hata hao wazazi wana matatizo yao! Ikishindikana nendeni kwa viongozi wenu wa dini wakawasaidie.
Pia ninamashaka na hiyo ndoa uliilazimisha nini?
Pia ninamashaka na hiyo ndoa uliilazimisha nini?