Naombeni ushauri/mke wangu "ana sauti" kwangu

Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!

wewe ulishakaa naye chini ukamwambia au unamuogopa halafu inaonekana kama ulikurupuka wakati unamuoa au nimekosea
 
Pole mkuu,hapa inawezekana kuna mambo mawili hivi
1.Labda wakati mnaoana yamkini binti alilazimishwa ili umuoe
2.Inawezekana huyo mwanamke alikupendea pesa kama ulikua nazo au unazo
3.Inawezekana unatumia nguvu mara umuingiliapo kimwili namaanisha hauna kawaida ya kumuandaa wakati mnajiandaa kwenda kwenye mechi
Ushauri wangu: Kaa nae mueleze kwa uwazi kila kinachokuuzi au mwambie anahitaji umfanyie pindi mnapokua uwanjani labda hapo ndio tatizo lilipo.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&lt;br /&gt;<br />
Sasa hapo mwizi nani? Aliyelala na jeans au aliyechana jeans ya mwenzie?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mianajike staili hiyo ipo mingi tu. Ww change direction japo nahisi atakudunda. Tafuta demu sio jike dume,na hapa unahitaji will power ya kuachana na mnyanyasaji unaedhani mnaheshimiana huku akikufanya buege. Amka jamaa angu.
 
Pole sana Mpwa wangu, umeni-touch saaaana na hivyo ntakushauri taratibu sana ili tuelewane; kuna msemo unasema hivi "things once done can not be undone" so kwasasa kuuliza mlikutana wapi au mliooana ili iweje haya hayana nafasi tena. Kama utakubali kuwa hayana nafasi basi cha kufanya, washirikishe viongozi wako wa dini (angalia kiongozi na kiongozi, kuna wengine watamchukua) kisha jadilini hili kama ikiwa ni lazima sana, pili, washirikishe wazazi wa pande zote mbili hasa upande wa kwao ili waone nafasi ya kuliweka sawa, maana hata kama ni mwizi basi asiibe hadi ikawa hivyo.
Mwisho, ambalo hasa ndilo la kwanza; kaa nae jitahidi kumbembeleza lakini ukiwa na msimamo sio ubembeleze kama vile ndio unaanza kutongoza tena; mwelimishe athari zake ikiwa ni pamoja na kuwa exposed kwenye magonjwa hatari ikiwa mmoja wenu hata kuwa mkweli, kisha mweleze lile au yale mliyokuwa mnayatazamia, kuwa na ndoa yenye amani, mafanikio, mrudishe azione siku hizo, enzi zile za love sms, na endless calls, mjengee picha ayaone hayo lakini kwa upole uache jazba na kama kuna kazi ndogondogo uwe na wewe unazifanya.....kubwa MTEGEMEE MUNGU maana wanadamu nao hawaaaminiki sana. Wote mseme amen
 
mmmh huu ushauri kama nguvu za giza, sasa mpwa hapa si ndio chanzo cha kuleteana magonjwa tena? think of the kid's future ambaye hahusiki na matatizo yenu...huu nao ni ushauri pia tusiuupuuzie
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mianajike staili hiyo ipo mingi tu. Ww change direction japo nahisi atakudunda. Tafuta demu sio jike dume,na hapa unahitaji will power ya kuachana na mnyanyasaji unaedhani mnaheshimiana huku akikufanya buege. Amka jamaa angu.
 
pole sana mpwa wangu, umeni-touch saaaana na hivyo ntakushauri taratibu sana ili tuelewane; kuna msemo unasema hivi "things once done can not be undone" so kwasasa kuuliza mlikutana wapi au mliooana ili iweje haya hayana nafasi tena. Kama utakubali kuwa hayana nafasi basi cha kufanya, washirikishe viongozi wako wa dini (angalia kiongozi na kiongozi, kuna wengine watamchukua) kisha jadilini hili kama ikiwa ni lazima sana, pili, washirikishe wazazi wa pande zote mbili hasa upande wa kwao ili waone nafasi ya kuliweka sawa, maana hata kama ni mwizi basi asiibe hadi ikawa hivyo.
Mwisho, ambalo hasa ndilo la kwanza; kaa nae jitahidi kumbembeleza lakini ukiwa na msimamo sio ubembeleze kama vile ndio unaanza kutongoza tena; mwelimishe athari zake ikiwa ni pamoja na kuwa exposed kwenye magonjwa hatari ikiwa mmoja wenu hata kuwa mkweli, kisha mweleze lile au yale mliyokuwa mnayatazamia, kuwa na ndoa yenye amani, mafanikio, mrudishe azione siku hizo, enzi zile za love sms, na endless calls, mjengee picha ayaone hayo lakini kwa upole uache jazba na kama kuna kazi ndogondogo uwe na wewe unazifanya.....kubwa mtegemee mungu maana wanadamu nao hawaaaminiki sana. Wote mseme amen

aammen
 
Your wife is a Dictionary Wife
Thes are women who · Don't take suggestions: the
way she thinks is the way it is
· They way she knows is the
way it is be maintained - no
changes Very orderly and became
very angry when things are
misplaced in their home set-
up. Kama utaweza badilisha misamiati ya dictionary na maana zake basi na mkeo utaweza mbadilisha vinginevo... Oa mke wa pili.
 
maskin kakayangu ni tatizo hilo kuwa mpole jaribu kumuuliza tatizo nini au haumfikishi anapopataka kiasi kwamba haimis hiyo kitu. umekuywa mpole lakin kuwa mpole ktk hili ili upate majibu au inawezekana mamaa ana kijana nje anae mkamua
 
aisee pole sana, kwani mlipooana makubaliano yalikuwa ni yepi! kuna wengine makubaliano ni kuzaa mtoto
kama ndo hivyo mtoto si mnae! vumilia tu kama hiyo ndoa ni ya kanisani
 
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
Duh....! Kwa kweli nakupa pole...! Hili ni tatizo jipya kwangu kabisa, maana kwa kipindi cha miaka 5 sasa ya ndoa sijawahi kushinda njaa kwa sababu nimenyimwa....! hata hivyo sijawahi pata manung'uniko yeyote kwa mwenzangu kuwa hajaridhia....! Nimejiuliza sana hali hii lakini bado sijapata majibu yanayoendana nayo....! Aidha, kwa kesi yako huenda kuna moja, au yote kati ya haya yafuatayo....!
  • Wewe mwenyewe huna ufundi wa kumuandaa mwenzio hadi akubali kisaikolojia, na hivyo kubaki kusubiria hadi siku anajisikia mwenyewe......! Please, in this issue force does not work, but convincing is the most powerful and strong method to succeed....! Penzi haliombwi kama maji ya kunywa, bali lina staili yake....!
  • Mwenzio huenda sio mwaminifu kwenye ndoa yenu, na hivyo kuwa stable katika kuamua anavyotaka kwa sababu atakuwa yeye kamaliza haja zake kwingine....! Hili nalo lichunguze kwa makini sana.....!
All the best....!
 
'Ukachana pedo yake ya jinzi...! halafu ikawaje...??'
KWA MANENO MENGINE, (waliosoma language wanaelewa) UNATUAMBIA KUWA BAADA YA KUCHANA PEDO YA MY WIFE WAKO UKAMBAKA....
 
Kanunue laudispika....kama ni kesi ya sauti ya mkeo kuzidi ya kwako...
BTW: Y did get married too?
 
Utingo-what words did he uses ,I might need them-ahaaaaaaaaaha!

hapa ndipo namkumbuka Martin Lawrence ktk Badboys 1 movie,..."that is marriage, you sleep with a woman but you don't get" I know one fella had the same issue na mkewe, alitoka nje na akahakikikisha mkewe kajua, na mkewe alivyo mjinga aliitisha kikao cha wazazi eti kumshtaki mume, on a meeting mke alibwabwaja muda mrefu sana akijua anammaliza mumewe kwa sababu waliokuwepo na wazazi wa wake tu na matron na mumewe, jamaa spoke only two line, na kibao kikamgeukia mwanamke. since then mwanamke alishika adabu yake.
 
Back
Top Bottom