Naombeni ushauri kwa yaliyonikuta leo

Naombeni ushauri kwa yaliyonikuta leo

Hv dada naomba nikuulizie hili japo mm nmelisikia tu kwa watu


Kwamba mwanamke akifikia umri wa kujiona yuko tayari kuolewa hushauriwa kua na wanaume hata 2 au3 kama wanaume wanavyofanya kusudi achague yupi ni yupi anafaaa kua nae forever


Je ww ndo ungekua kwenye age hio ungefanyaje?!


Mwisho wa siku sioni kosa la mdada kucheat kupo na sababu ni nyingi

nakazia
 
mpaka sasa umewekeza kiasi gani?? hiyo mitoko na blabla zako...inafika how much?? wengine tuna kiasi ikifika...hata nikijua ni mke wa mtu.....lazima nimle hata kama KIMASIHARA.....uwekeza lazima uwe na faida....
 
Jamani muwe serious na vitu mnavyoomba ushauri viwe kweli vinahitaji ushauri, labda kama unakuja kushare tu ili na wengine wapate maarifa maana muda mwingine wanawake kudharau wanaume ni wanaume wenyewe wanataka, maana linatokea tukio kama hilo halafu kesho yake asubuhi unaenda kumuomba muendelee na mahusiano, hata wanawake nadhani kuna muda wanakaa wanayushangaa wanaishia kutucheka tu, hivi picha umeshaiona kabisa halafu bado unaandika kuomba ushauri ufanyeje, kweli?
 
Back
Top Bottom