Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
Hv dada naomba nikuulizie hili japo mm nmelisikia tu kwa watu
Kwamba mwanamke akifikia umri wa kujiona yuko tayari kuolewa hushauriwa kua na wanaume hata 2 au3 kama wanaume wanavyofanya kusudi achague yupi ni yupi anafaaa kua nae forever
Je ww ndo ungekua kwenye age hio ungefanyaje?!
Mwisho wa siku sioni kosa la mdada kucheat kupo na sababu ni nyingi
nakazia


