masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,823
- 16,895
Hv dada naomba nikuulizie hili japo mm nmelisikia tu kwa watu
Kwamba mwanamke akifikia umri wa kujiona yuko tayari kuolewa hushauriwa kua na wanaume hata 2 au3 kama wanaume wanavyofanya kusudi achague yupi ni yupi anafaaa kua nae forever
Je, wewe ndo ungekua kwenye age hio ungefanyaje?
Mwisho wa siku sioni kosa la mdada kucheat kupo na sababu ni nyingi.
Hakuna excuse yoyote ya kucheat USICHEAT!! Ni hatari kwako na kwa wapenzi wako maana na wenyewe wana chain yao. Kama usipoleta magonjwa basi utaumiza watu wasio kuwa na hatia.
Yawezekana wenzako wanakupenda ila kumbe wewe upo kwenye kuchagua.
Hakuna umri sahihi wa kuolewa, ni pale utakapokutana na mtu na ukajua huyu sasa ni mume wangu hata kama hamjaamza hatua za kuoana, wewe mwenyewe utaona mienendo yenu na mkipendana kwa dhati mambo yanakwenda tu yenyewe.
Alafu ukiwa unaelekea kuoana na mtu hutakiwi kuna na option ya pili kabisaa, utakua bado hujawa tayari kwa ndoa.
Lastly kupata ndoa kwa sasa ni bahati, mwatu wengi sio waaminifu.
hilo ni swali tena la kuuliza piga chini . ila hatujakuelewa