proxy JF-Expert Member Jul 3, 2016 1,468 1,329 Nov 5, 2020 Thread starter #61 Watu8 said: Sasa mkuu hawa viumbe wapo sensitive sana na maneno tunayowaambia Click to expand... Ni kweli ila siwezi na simshauri mtu kutamka demu kwa Msichana mwenye malengo nae ,ni dharau kubwa sana
Watu8 said: Sasa mkuu hawa viumbe wapo sensitive sana na maneno tunayowaambia Click to expand... Ni kweli ila siwezi na simshauri mtu kutamka demu kwa Msichana mwenye malengo nae ,ni dharau kubwa sana
proxy JF-Expert Member Jul 3, 2016 1,468 1,329 Nov 7, 2020 Thread starter #63 Smartphone Tz said: Wanajielewa sana hao huwaingii kichwa kichwa Click to expand... Wepi hao Mwansmke wa kilokole au yeyote?
Smartphone Tz said: Wanajielewa sana hao huwaingii kichwa kichwa Click to expand... Wepi hao Mwansmke wa kilokole au yeyote?
Nick girland JF-Expert Member Jan 13, 2020 291 200 Nov 8, 2020 #64 Jifunze kwanza matumizi sahihi ya r na l kabla ya kuingia kwenye mahusiano.
Chaliifrancisco JF-Expert Member Jan 17, 2015 23,526 70,375 Nov 23, 2020 #65 Ulimpelekea zawadi yake ya kuzaliwa? Sijaelewa hapo.
MeruA JF-Expert Member Aug 9, 2017 1,391 2,125 Nov 23, 2020 #66 Kwani kila ukizoeana na jinsia tofauti na mkawa mnapiga stori sana lazima muwe wapenzi?