Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,707
- 3,563
Fanya mtihani na kazana ufaulu.
Kwani ukisoma Kuna shida gani??
Kwani ukifanya biashara huku ukiwa na digrii Kuna shida gani??
Biashara sio kazi rahisi Kama unavyofikiri labda ukubali kupata sh kumikumi zisizokidhi maisha.
Lkn ukiajiriwa hata Kama unalipwa laki kwa mwezi una amani yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukisoma Kuna shida gani??
Kwani ukifanya biashara huku ukiwa na digrii Kuna shida gani??
Biashara sio kazi rahisi Kama unavyofikiri labda ukubali kupata sh kumikumi zisizokidhi maisha.
Lkn ukiajiriwa hata Kama unalipwa laki kwa mwezi una amani yako.
Sent using Jamii Forums mobile app