Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa. Ila sasa toka kipindi icho amekuwa akinilazimisha niende kwao kutoa posa na mahari. Tunaishi mikoa tofauti..
Tukiwa tunakutana simu yake anaweka password, hataki niishike.
Kuna siku niliishika. Nikakuta meseji anachati na wanaume, wengine wanamwambia waonane anakubali, wengine anawabebisha anawaomba na hela. Na Kuna mwingine yupo mkoa Mmoja, huyu mwanamke wangu alikuwa anamwambia atasafiri kwenda huko, waonane.
Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?
Tukiwa tunakutana simu yake anaweka password, hataki niishike.
Kuna siku niliishika. Nikakuta meseji anachati na wanaume, wengine wanamwambia waonane anakubali, wengine anawabebisha anawaomba na hela. Na Kuna mwingine yupo mkoa Mmoja, huyu mwanamke wangu alikuwa anamwambia atasafiri kwenda huko, waonane.
Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?