Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,735
Reaction score
11,344
Kwa upande wa mama yangu tumezaliwa wawili tu yaani mimi na huyu mdogo wangu ila mama na mzee walishatangulia mbele za haki [mama kafariki nikiwa na miaka mi3 na mzee nikiwa na miaka 13 ]

huyu mdogo wangu Yeye yupo nyumbani anakaa na mama mkubwa ( step mother )

Sasa mimi ni Juzi tu nimemaliza chuo kwa mbinde sana mana nmejitegemea kila kitu miaka yote mitatu mpaka namaliza, sikuwa na wakumwelekezea shida zangu zozote ingawa kwa upande wa Baba tupo watoto... na sisi ndio wa mwisho na hawa ndugu zetu wote kila mtu ni mambo safi kweli ( kweli kutoa ni moyo 🥲)

Sasa huyu mdogo wangu kanitumia Hii meseji nimepatwa na stress sana wakati ni Juzi tu nmeongea na huyu mama mkubwa wangu tukakubaliana kuwa atampeleka mdogo wangu chuo ila ntakua nampa back up kwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya apa na pale.

Mimi saiv ndo nmeanza biashara bado hata sijafikia ile level ambayo nimejiwekea malengo nifikie lakini nakumbana na majukumu mazito kama haya.

Binafsi apa nilkua napambana nipate hela niingie Law school mwezi July lakini izo dalili naona kabisa zikififia🥲

Kinachoniuma ni mdogo wangu af ni mtoto wa kike na tumezaliwa wawili tu, Naombeni ushauri nifanye nini ili nijue namjibu vp huyu mdogo wangu in a positive way
 

Attachments

  • Screenshot_20230105-114454.jpg
    Screenshot_20230105-114454.jpg
    52 KB · Views: 58
Kwa upande wa mama yangu tumezaliwa wawili tu yaani mimi na huyu mdogo wangu ila mama na mzee walishatangulia mbele za haki [mama kafariki nikiwa na miaka mi3 na mzee nikiwa na miaka 13 ]

huyu mdogo wangu Yeye yupo nyumbani anakaa na mama mkubwa ( step mother )

Sasa mimi ni Juzi tu nimemaliza chuo kwa mbinde sana mana nmejitegemea kila kitu miaka yote mitatu mpaka namaliza, sikuwa na wakumwelekezea shida zangu zozote ingawa kwa upande wa Baba tupo watoto 16 na sisi ndio wa mwisho na hawa ndugu zetu wote kila mtu ni mambo safi kweli ( kweli kutoa ni moyo 🥲)

Sasa huyu mdogo wangu kanitumia Hii meseji nimepatwa na stress sana wakati ni Juzi tu nmeongea na huyu mama mkubwa wangu tukakubaliana kuwa atampeleka mdogo wangu chuo ila ntakua nampa back up kwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya apa na pale.

Mimi saiv ndo nmeanza biashara bado hata sijafikia ile level ambayo nimejiwekea malengo nifikie lakini nakumbana na majukumu mazito kama haya.

Binafsi apa nilkua napambana nipate hela niingie Law school mwezi July lakini izo dalili naona kabisa zikififia🥲

Kinachoniuma ni mdogo wangu af ni mtoto wa kike na tumezaliwa wawili tu, Naombeni ushauri nifanye nini ili nijue namjibu vp huyu mdogo wangu in a positive way

View attachment 2469632
Ana vigezo vya kupata Samia scholarship?
 
Mbona kama una makasiriko nae hivi sasa ww herufi zinakuuzi ninWatanzania bana
Mimi leo nimeamkia Hospitali mana Tangu Tarehe 2 najiskia hovyo nilzani ni hangover za pombe za sikukuu kumbe nilkua na Malaria.

Mimi mwandiko wako ndo utaniongoza nikujibu au nisikujibu.
Sipendi miandiko ya kitoto
 
Kuna madogo wanatia hasira na sms zao unaamua kukaa kimya,kama mimi kuna wadogo zangu huwa wanaandika vifupi vya ajabu ajabu mfano anatuma neno moja eti "oa" yaan ndo anamaanisha "oya"
Dah sema ni mtu na mtu kaka hakuna haja ya kushangaana ila mim madogo zangu wanaenjoy kama kaka yao sinaga noma kabisa labda kutokana na malezi pia tuliyolelewa yaan sinaga shida
 
Mimi leo nimeamkia Hospitali mana Tangu Tarehe 2 najiskia hovyo nilzani ni hangover za pombe za sikukuu kumbe nilkua na Malaria.

Mimi mwandiko wako ndo utaniongoza nikujibu au nisikujibu.
Sipendi miandiko ya kitoto
Dah sema ni mtu na mtu kaka hakuna haja ya kushangaana ila mim madogo zangu wanaenjoy kama kaka yao sinaga noma kabisa labda kutokana na malezi pia tuliyolelewa yaan sinaga shida
 
Duuh mpe polee huyo Debora, ila plz fanyaa aende chuo tafadhari.
Poleeeh sanaa, hope kila kitu kitakua sawaaa.
Naona umesomea Cuba sio

InshAllah ntajitaidi, Asante sana
 
Subira yavuta kheri
Hakuna barabara iliyonyooka
Ili ufanikiwe lazima upitie milima , kona na Mabonde. Lakini kufika ni lazima hata kama kuna kuchelewa ndani

Lakini ujue haya mambo huwa hayamkuti mbuzi wala kenge ni Binadamu kama mimi na wewe.

Enewei
Hata mimi sipendezwi na mtu anayetumia X badala ya S au C badala ya S naudhika kuliko maudhi yenyewe
 
Subira yavuta kheri
Hakuna barabara iliyonyooka
Ili ufanikiwe lazima upitie milima , kona na Mabonde. Lakini kufika ni lazima hata kama kuna kuchelewa ndani

Lakini ujue haya mambo huwa hayamkuti mbuzi wala kenge ni Binadamu kama mimi na wewe.

Enewei
Hata mimi sipendezwi na mtu anayetumia X badala ya S au C badala ya S naudhika kuliko maudhi yenyewe
Hata kama tumeumbiwa shida mimi bado mdogo jamani kubebeshwa hili jukumu ni msalaba mzito.

Biashara ikue, Niingie Law school July plus makandokando mengine na mdogo wangu tena jamani, tena Chuo wakati Bi Mkubwa anao uwezo wa kusomesha.!!

Whyyyyyyyyyyyyy me
 
Back
Top Bottom