Mr Fan
Member
- Sep 21, 2019
- 74
- 133
Wakuu habarini,
Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.
Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!
Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.
Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.
Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!
Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.
Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
