Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Enzi nikiwa kijana niliwahi kukutana na scenario kama yako, tena mwanamke wa kabila hilo hilo toto la kimarangu!

Nilimpokea Dar mwenyewe, nikamzungusha viwanja na maeneo yote ya kijanja enzi hizo, nikafanikiwa kuvunja bikra then nikasafiri kama mwaka na nusu hivi.

Nikiwa huko nilikokua akaniomba hela ya Kwenda driving school.. nikatuma hela ingawa maswali yalikua mengi Sana kichwani mwangu, anajifunzaje gari ilhali hata baiskeli hana? Nikawa kimya tu!

Siku narudi Dar nakuta mtu anagari, Toyota Raum.. Aisee, nilijiuliza Sana, Mwanafunzi wa chuo mwaka 3 anakuaje na gari wakati katoka familia ya kawaida Sana? Nikasema enewei ngoja nione mwisho wake.

Balaa likaja kwenye kuomba Mbususu, Aisee, nilizungushwa kama nafuatilia Mali ya urithi, ikumbukwe hapo Mbususu ni me mwenyewe ndo nilivunja bikra, mara tuoane kwanza, mara sijui ngoja nifanye UE.. nikaforce Sana Kama Jogoo lakini wapi!!

Siku kama zali tu sijui aliwaza nini, hapo karibu miezi 6 tunazungushana tu, akanipigia cm uko wapi, nikamwambia Niko job, akaniambia utanikuta getini kwako nakusubiri, nikamwambia naja muda si mrefu! Nikatoka job fasta mpaka home,! Akaniambia anahamu ya Mbuzi katoliki nikaagiza akala, nikawa tu nipo tu namskilizia maana nilishachoka kubembeleza... Mara paap... Nikavutwa!! Aiseee kuja kuchomeka nilikutana na DAG Moja hataree Sana, yaani kulikua na play kama ya gear leaver ya Isuzu journey! Nikachakata kivivu Sana ila sikutaka kuuliza imekuaje mbona nilipita mara Moja tu afu imekua bwawa!!

Ktk ujasusi wangu nikaja kujua ukweli wa mambo ulivyo! Kumbe mwenzangu niliposafiri kwenye mambo ya kufundishwa gari ndo alianza kudambuliwa maana hata hiyo driving school yenyewe hakwenda alikua anafundishwa na Mwamba mmoja hivi.. baada ya hapo akawa chakula cha wakubwaaa, mpaka me narudi Dar mtu ashafanya arbotion sio chini ya 10..

Sasa Mkuu kazi kwako!! Cheza ngoma, Angalia jua!
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Una umr gan mkuu
 
Enzi nikiwa kijana niliwahi kukutana na scenario kama yako, tena mwanamke wa kabila hilo hilo toto la kimarangu!

Nilimpokea Dar mwenyewe, nikamzungusha viwanja na maeneo yote ya kijanja enzi hizo, nikafanikiwa kuvunja bikra then nikasafiri kama mwaka na nusu hivi.

Nikiwa huko nilikokua akaniomba hela ya Kwenda driving school.. nikatuma hela ingawa maswali yalikua mengi Sana kichwani mwangu, anajifunzaje gari ilhali hata baiskeli hana? Nikawa kimya tu!

Siku narudi Dar nakuta mtu anagari, Toyota Raum.. Aisee, nilijiuliza Sana, Mwanafunzi wa chuo mwaka 3 anakuaje na gari wakati katoka familia ya kawaida Sana? Nikasema enewei ngoja nione mwisho wake.

Balaa likaja kwenye kuomba Mbususu, Aisee, nilizungushwa kama nafuatilia Mali ya urithi, ikumbukwe hapo Mbususu ni me mwenyewe ndo nilivunja bikra, mara tuoane kwanza, mara sijui ngoja nifanye UE.. nikaforce Sana Kama Jogoo lakini wapi!!

Siku kama zali tu sijui aliwaza nini, hapo karibu miezi 6 tunazungushana tu, akanipigia cm uko wapi, nikamwambia Niko job, akaniambia utanikuta getini kwako nakusubiri, nikamwambia naja muda si mrefu! Nikatoka job fasta mpaka home,! Akaniambia anahamu ya Mbuzi katoliki nikaagiza akala, nikawa tu nipo tu namskilizia maana nilishachoka kubembeleza... Mara paap... Nikavutwa!! Aiseee kuja kuchomeka nilikutana na DAG Moja hataree Sana, yaani kulikua na play kama ya gear leaver ya Isuzu journey! Nikachakata kivivu Sana ila sikutaka kuuliza imekuaje mbona nilipita mara Moja tu afu imekua bwawa!!

Ktk ujasusi wangu nikaja kujua ukweli wa mambo ulivyo! Kumbe mwenzangu niliposafiri kwenye mambo ya kufundishwa gari ndo alianza kudambuliwa maana hata hiyo driving school yenyewe hakwenda alikua anafundishwa na Mwamba mmoja hivi.. baada ya hapo akawa chakula cha wakubwaaa, mpaka me narudi Dar mtu ashafanya arbotion sio chini ya 10..

Sasa Mkuu kazi kwako!! Cheza ngoma, Angalia jua!
Pole sana mkuu... mkuu huyu binti kuna muda ananiambia kwamba siku ikitokea tukafanya mapenzi inaweza ikamuathiri akawa analiwa endapo mm nikienda masomoni coz ninampango wa kwenda kufanya masters mwakan mwanzoni af ni nje ya nchi.
 
Nimeishia hapo miaka 8 bila MBUSUSU.

Mwisho sahivi usiendelee kua karibu na muuaji uyo.
 
Achana na hivyo kitu tafuta mwanamke mwingine kwani huyo kuna wanaume wengine ndio anawapa papuchi yake ila wewe kakuweka spare tyre.
 
Kwanza unakosea kumwita Binti kwa miaka yake 27.
Kngne hapo Wana wanajipigia tu kama kawa. WW shika pembe Wana wakamue
Cha msingi apo jikatae chalii.

Af na ww n lofa. Miaka 6 uchumba gan apo. Shenz sana
Subili ni mpatie muongozo Mkuu
Binti 15-22
Dada 22-25
Mdada 26-30
Mama 30-35
Mmama 35-44
Bibi 45-55
Mbibi 55+
 
Pole sana mkuu... mkuu huyu binti kuna muda ananiambia kwamba siku ikitokea tukafanya mapenzi inaweza ikamuathiri akawa analiwa endapo mm nikienda masomoni coz ninampango wa kwenda kufanya masters mwakan mwanzoni af ni nje ya nchi.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom