Manchesterunited20
Member
- May 5, 2015
- 29
- 1
Nina miaka 28 kwasasa, ni university graduate na nimeajiriwa serikalini. Nina mwanamke ambaye bado hatujafunga ndoa lakini pia bado hata nyumbani kwao sijajitambulisha. Naye pia ni graduate na yupo kazini pia. Umri wake ni 25yrs, kwa ufupi tulikutana chuoni na tuna miaka kama minne hivi and we have been blessed with a lovely and precious daughter aged 3yrs now. Ok kilichosababisha niandike uzi huu ni kutokana na anayonifanyia huyu mwenzangu, kwa kipindi chote hicho its only 3 months labda ndio nilienjoy mapenzi naye.
1. Haishi kunitukana matusi ambayo yameenda beyond hata kuhusisha wazazi wangu.
2. Alishanitishia nikicheza ataniua kisirisiri au anifanye msukule, nilijipa moyo haiwezekani.
3. Kila ninachonunua anasema ni chetu hata kama hajui nimenunuaje mfano nimenunua uwanja na nishaanza kujenga, sijawahi kumuonesha ila niliwahi kumwambia kuwa nina mipango hiyo surprisingly hajigusi kuhusu hilo lakini kila siku anasema nyumba yetu ikiisha sijui atanya hivi mara vile.
4. Yupo busy na simu yake mara whatsapp sijui FB hata kama ni usiku. Tatizo nikijaribu kuwa busy na simu yangu analeta ugomvi.
5. Pesa zake hataki nijue anafanyia nini wala nisiulize. Kwani nikuliza ni ugomvi.
6. Habari za wazazi wangu hataki kuzisikia kabisa.
7. Kubwa zaidi ilishafika siku akanitemea hadi mate mbele ya wadogo zangu wa kike.
8. Nanii yenyewe napewa kwa masharti mpaka siku apende yeye.
9. Akijua nina pesa anataka mpaka iishe ndio aridhike. Note. Bado sijamuoa rasmi and regardless of all these anasisitiza nimvishe pete ya uchumba na nyumbani kwao niende.
Real nimepata hofu na sina hamu ya kumuoa sababu nahisi she is hunting marriage coz topic kubwa kwake ni ndoa hasa anapoona rafiki zake wamepost may be engaged au wedding pictures.
Kwa haya yote natamani kuachana naye lakini hataki kusikia hilo. Mind u, for the whole time i have been playing role kama baba na mama yake.
Naombeni ushauri wana Jf nifanyeje? Moyo umekufa sina hamu ya mapenzi kwa haya yote na mengine mengi na sioni kama ninaweza kufurahia mapenzi tena.
1. Haishi kunitukana matusi ambayo yameenda beyond hata kuhusisha wazazi wangu.
2. Alishanitishia nikicheza ataniua kisirisiri au anifanye msukule, nilijipa moyo haiwezekani.
3. Kila ninachonunua anasema ni chetu hata kama hajui nimenunuaje mfano nimenunua uwanja na nishaanza kujenga, sijawahi kumuonesha ila niliwahi kumwambia kuwa nina mipango hiyo surprisingly hajigusi kuhusu hilo lakini kila siku anasema nyumba yetu ikiisha sijui atanya hivi mara vile.
4. Yupo busy na simu yake mara whatsapp sijui FB hata kama ni usiku. Tatizo nikijaribu kuwa busy na simu yangu analeta ugomvi.
5. Pesa zake hataki nijue anafanyia nini wala nisiulize. Kwani nikuliza ni ugomvi.
6. Habari za wazazi wangu hataki kuzisikia kabisa.
7. Kubwa zaidi ilishafika siku akanitemea hadi mate mbele ya wadogo zangu wa kike.
8. Nanii yenyewe napewa kwa masharti mpaka siku apende yeye.
9. Akijua nina pesa anataka mpaka iishe ndio aridhike. Note. Bado sijamuoa rasmi and regardless of all these anasisitiza nimvishe pete ya uchumba na nyumbani kwao niende.
Real nimepata hofu na sina hamu ya kumuoa sababu nahisi she is hunting marriage coz topic kubwa kwake ni ndoa hasa anapoona rafiki zake wamepost may be engaged au wedding pictures.
Kwa haya yote natamani kuachana naye lakini hataki kusikia hilo. Mind u, for the whole time i have been playing role kama baba na mama yake.
Naombeni ushauri wana Jf nifanyeje? Moyo umekufa sina hamu ya mapenzi kwa haya yote na mengine mengi na sioni kama ninaweza kufurahia mapenzi tena.