simkangasteven
New Member
- Oct 28, 2024
- 3
- 3
Nina madogo zangu wawili wanataka kujiunga na JWTZ, sasa nimetozwa 15,000 ya fomu kila mmoja, 18,000 ya usajili kila mmoja, sasa hivi naambiwa inatakiwa 80,000 kila mmoja gate pass. Hivi ni sahihi au napigwa na kitu kizito?
Kibaya zaidi hela natuma kwenye namba yake huyo mtu
Naombeni majibu ndugu zangu, maana hali ya uchumi ni mbaya mtaani halafu hela ndio zinaaenda
Kibaya zaidi hela natuma kwenye namba yake huyo mtu
Naombeni majibu ndugu zangu, maana hali ya uchumi ni mbaya mtaani halafu hela ndio zinaaenda