Naombeni ushauri haraka!

jmapunda

JF-Expert Member
Jul 9, 2015
731
2,923
Wandugu,nilijiapia mwaka huu sitaki tena mambo ya michepuko lakini naona nimewekwa majaribuni.Tena na demu wa jamaa jirani yangu tu.Sina mazoea naye ya ki vilee...lakini siku za karibuni hapa akaanza kunizoea kwa kasi ya kutisha.Akanilazimisha eti tupinge kuhusu nani atafungwa kati ya hizi timu zetu mbili.Ambaye timu yetu itafungwa ampe mwenzake elfu hamsini.Timu yake ndiyo iliyopoteza.Sasa ajabu badala ya mimi ndiye nimsumbue anilipe hiyo hela,yeye ndiye muda wote ananipigia kwamba hana hela ya kunilipa ila yupo tayari kunifanyia chochote kile nachotaka.Eti hata kama jambo la siri yeye ataitunza ili tu roho yake iwe na amani.Jamani nimevurugwa kweli sijui mnasemaje maana kama uzuri tu anao wa kuzaliwa.Naomba ushauri wa kujenga siyo sijui nini inahusika.
 
Wandugu,nilijiapia mwaka huu sitaki tena mambo ya michepuko lakini naona nimewekwa majaribuni.Tena na demu wa jamaa jirani yangu tu................

Mungu anakuona
 
Asa mkuu apo majaribu yako wapi.yaani unajua mtu anakutega umejua kabisa halafu unataka ushauri kweli mkuu na umekua kabisa! Mkuu shetani anakuvuta ndo maana now unaona amejaaliwa uzur huo dada.halafu tunaweza kukushauri kuwa ubaki na msimamo lakin bado usituelewe na ukachepuka.sema tukukumbushe tu kuwa baki njia kuu umekua shika msimamo wako wa kuwaepuka vimada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom