Naombeni mwongozo


Rafiki that doesnt work....hawa wasichana wa kazi ni kukubaliana tunkwamba vitu vinginr tukubali kuliwa...mfano kwetu anatumia simu yake ila vocha hatumuwekei anatumia hela hizo hizo za matumizi ya kawaida maana huwa tumamwachia hela ya matumizi...ila ndo mpaka tumpigie sisi!
 

Bado tatizo ni lile lile

Madam,wasichana wa kazi sio vilaza kiasi hiki,hata kama wapo vilaza basi sio wote kwasababu huwezi kumkabidhi mtu nyumba na unaondoka asubuhi na pia unamuachia watoto wako na unarudi jioni unakuta watoto wapo salama na usafi kafanya na mambo mengine kafanya halafu useme ni kilaza kiasi kwamba hajui kupanga matumizi

Zipo familia nyingi sana hawa wasichana ndio wanaobajeti matumizi ya nyumbani huku wanawake wa nyumba husika wakifanya mambo mengine,kwakifupi kwenye familia hizi wasichana wa kazi ndio ambao wanafanya kila kitu ukija kwenye suala la kuibajeti hela ya matumizi na mambo mengine

Huwezi kutaka kuwaaminisha watu kuwa hawa wasichana ni vilaza kiasi hicho,hilo nakataa,kama kunammsichana kilaza hivyo wala hutaweza kukaa nae kwamuda mrefu kwasababu hataweza kutimiza majukumu yake ya kawaida tu,kinachotokea hapa ni hali ya kutaka kuwafanya hawa wasichana wa kazi waonekane kama ni wasiojua wanalolifanya wakati sio kweli kabisa

Kuna wasichana ambao ni bora hata kuliko wamama wa familia husika,kulikana hili ni kuukana ukweli na ndio maana kuna wakati wanaume wa nyumba husika wanasema kuwa ni bora ingefanyika substitution mke akawa HG na HG akawa mke

Ninachotaka kukuambia hapa na huyu mtoa mada ni kuwa hili alilolileta hapa sio halali na halikubaliki kabisa,huwezi kumpa msichana sh 1000 aitumie na ikaisha kabla ya siku utakayompa tena kwenye wiki halafu uje JF kuanzisha uzi

Haikubaliki kabisa na nasema ni unyanyasaji

Kama huyo msichana ni kilaza kwa style unayoileta wewe hafai hata kuwa HG!
 

Huu uongo tafuteni wa kuwalisha lakini mimi hapana

Hawa wasichana wa kazi wanapata wakati mgumu sana huko wanakofanya kazi,kitendo cha kuwazushia mambo ya hovyo kama haya ni kuendelea kujipaka matope

Kama una msichana wa aina hiyo anawezaje kutimiza majukumu yake? Au unataka kujidai kuwa unamvumulia ili uonekane kuwa una huruma?

Sorry,i don't buy that!
 

Ni jambo gani linaweza kuhalalisha umpe HG sh 1000 wiki nzima kwaajili ya vocha na ikiisha kabla ya hiyo wiki unalalamika hadi hapa JF?
 

Asante sana mkuu!!
 
Eiyer anaongea points sana...
Kuna watu wanajifanya hawamuelewi...
This man is brave and Bright...
akina mama msikilizeni huyo jamaa...he is having a point to be taken there,kuwa mwanamke sio kujua kila kitu kuhusu hawa beki tatu...!

CC gfsonwin Fixed Point etc..
 
Last edited by a moderator:

Mkuu hawa dada/mama zetu wakati mwingine wanatupa kazi sana kuwaelewesha

Lakini taratibu watatuelewa tu

Pamoja saana ..!!
 
Mkuu hawa dada/mama zetu wakati mwingine wanatupa kazi sana kuwaelewesha

Lakini taratibu watatuelewa tu

Pamoja saana ..!!

Mke wangu mwenyewe ana itikadi hizohizo...hii tabia inanikera kuliko zote duniani...!

Wanasahau maisha ya wanafamilia yapo mikononi mwa beki 3,anaweza akawapoteza wote wakati wowote...

Lazima tuishi nao kibinadamu...!
 
weka vocha kwenye simu hata km anatumia simu yake we nunua simu kwa ajili ya nyumban na uwe unaweka vocha let say 1000/= then unamwambia naomba hii vocha itumike kwenye mambo muhimu tuu na nikikuta imeisha bila sababu maalum jua waz kamshahara kako kanakatwa ...yani kisoda kwa kisoda ..bendera chuma mlingoti chuma
 
Mtoa mada wewe lazima utakuwa kabila la mchaga 1000 tu ndo mishipa inakutoka ivo tena kwa wiki,khaaaa iv hzo hela zako zinaweza kulea mtoto,kudek,kufanya kaz zote,"MAN POWER"ni kitu cha thaman kuliko hela tuwathamini wafanyakaz wetu wanatulelea vijana wa Taifa la keshooo!
 
My mdogo, unajua namlipa shilingi ngapi?
Ukinisoma kwenye post yangu nimesema huwa napiga sana simu nyumbani, yaani kwa siku napiga zaidi ya mara 3, kwa hiyo inaweza tokea mwezi mzima asiwe na hiyo dharura ya kunipigia, au hata miezi miwili, lakini hiyo haimaanishi kuwa sitampa hiyo buku sababu hakukuwa na dharura.
sasa kinachonichosha ni ile ya kushindwa kuwasiliana nami inapotokea dharura kisa hana airtime na wakati anawasiliana nami mara chache sana baada ya miezi kadhaa
 
You know mabinti wa kazi very well.
Hao wakijiunga ni wanahakikisha sms zote ziishe na airtime, ndo mambo mengine yaende.
 
umeni-judge kwa vitu nisivyovifanya......
hayo maandishi meusi ambayo umeyakimbia ndo nimesema mimi huwa nafanya, hayo mengine ni maelezo tu na nimeweka clear kuwa sifanyi hayo
 
Mie huwa sijitii headache na maid hata siku moja. Kwa suala hili uliloleta hapa, nakushauri ununue mobile fone ya mezani. Nenda voda hapo wanakupa lisimu la mkonge, ukiwa nyumbani unawaka halijafutwa vumbi. Hicho kimobile ndo kwanza unampigia yuko mtaa wa tatu na anakujibu niko home, hali shwari!

but anyways, kukaa na msichana ukimfanya comfortable utafaidi wewe. Mpigie wewe, tena mruhusu akutumie msg ya tafadhali nipigie kama ana shida yoyote. Tena jumapili kaa na wanao, muache dada akabarizi kwa maboifrendi. jirani wa kakangu alikuwa mkali hapo UDSM, hgal haruhusiwi kupiga picha hata na mwanae wala wanae hawaruhusiwi kwenda kwa jirani. Siku mwanae alikuwa anaharisha, kina dada wakakaa kimya tu na sie tuko home tunaangalia tv tu. By the time mama mtoto anarudi saa moja usiku, anakamata mwanae kwenda hospitali, mtoto anafariki!

mtoto anaweza kuungua ama kuumia mbele yako na usiweze kumlinda. Relax
 
well said rafiki.....
 
Hata usalama wa mali zako zote uko mikononi kwa hgal. Kuna siku nilirudi home mapemaa, nikakuta dada hayupo. Nikaingia ndani, nikalala. By 6pm naamka nyumba iko kimya kabisa. Ndio nagundua dada hayupo. Angeweza kuamua kuacha nyumba wazi ama kubeba apendacho. Lakini hadi change za dukani nilikuta mezani, alipika na kuacha hapo kabisa.

ndo maana mimi husema mwanaume akitembea na hgal anaweka familia nzima vulnerable. Akiamua kufanya wivu wa mapenzi humo ndani, hakutasalia hata panya
Mke wangu mwenyewe ana itikadi hizohizo...hii tabia inanikera kuliko zote duniani...!

Wanasahau maisha ya wanafamilia yapo mikononi mwa beki 3,anaweza akawapoteza wote wakati wowote...

Lazima tuishi nao kibinadamu...!
 
ha haaaaa, nimecheka sana........
tatizo nililoliona kwako na kwa baadhi ya watu ambao wamejibu swali langu kwa hisia ni kutokuelewa nilichokiandika. Jamani, watu wengi wanafeli mitihani siyo sababu hawajui kitu katika topic husika, ila sababu anajitahidi kuelezea vitu ambavyo havipo kwenye swali. Hata kama umeambiwa discuss, haimaanishi uandike kila unachokijua kwenye hiyo topic, chagua vitu muhimu ambavyo vimeulizwa.
Kaa tena na hao uliowaita, mshauriane swali linahusu nini, specifically, then uje utoe mwongozo.
Acha kujibu kwa hisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…