Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
-
- #81
Thank you rafiki....mamito usihangaike sana kumjibu Miss Kim, naona bado hajafikia mahala pa kukaa na maid, siku akifikia atakuja hapa na hoja tofauti
napenda sana msimamo wako juu ya haki za binadamu na hasa heshima kwa kila mtu.
naomba nikuulize hivi umewah kukaa na maid ww??nikimaanisha kwamba wew ndio bosi wake?
kama ndio wangapi toka uanze kuajiri??
Nawasalimu wana MMU.
Jamani tuna hawa wadada wanatusaidia kukaa na nyumba zetu.
Kama tujuavyo maisha ya siku hizi bila simu inakuwa patashika kidogo.
Huwa mdada akija kama hana simu huwa nampa simu ambayo nimeinunua kwa ajili ya nyumbani ili niweze kuwasiliana naye naye awasiliane nami ambapo sipo nyumbani.
Na kama inatokea mdada kaja na simu yake basi simlazimishi atumie ile yangu, huwa natumia tu ile namba yake kwa mawasiliano.
Kinachotokea mpaka naomba mwongozo hapa ni kwamba; Huwa nampa sh. 1000 kila wiki kwa ajili ya simu, ili akipata dharura basi aweze kunitaarifu. Mara nyingi mimi huwa napiga simu nyumbani mara kwa mara kwa hiyo inatokea mara nyingi tu ndani ya wiki hajanipigia wala kutuma sms hata moja, na yaweza kuwa hivyo hata mwezi mzima.
Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.
Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?
Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?
sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.
Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........
Sio fair ......
Kama anaish na binti ambae anajua nae anahitaji kuwasiliana na ndugu na jamaa kama binadamu mwingine ni kwanini haya yote yawepo?
Hivi kutenga shilingi 3000 kwa wiki kwaajili ya mawasiliano ya binti inakuwa ni hasara kweli?
Huyu binti ni wa muhimu sana,kumbuka tunawaachia watoto,wanawapikia chakula,wanawafulia nguo na nyumba unaikuta ipo safi,mshahara tu hautoshi kuonesha kuwa unamjali,kujali ni pamoja na kumfanyia mambo ya kibinadamu kama haya!
Ni rahisi sana kusema hivi, na nahisi kila mtu angependa afanye hivi. Kwa research kidogo ambayo nimeifanya kwa watu wanaonizunguka na wanaowazunguka, kwa kadiri unavyojitahidi kuishi na hg kama nduguyo ndo jinsi unavyoumwa kichwa. Hii tabia huwa siikomi, kila hg akija namwona ni innocent na sitaki kumtundikia ubaya wa waliopita, nam-treat independently, lakini hawaishi kuniumiza kichwa. Nina watu kadhaa ninaowafahamu, including watu wa mataifa mengine ambao wapo hapa bongo, hasa wahindi, wanawa-treat mahg kama hawawajui lakini huwezi amini mahg wa nyumba hizo wanakaa kwa muda mrefu sana na kwa adabu.
Sisemi nitaanza ku-mistreat wadada, sababu haipo kwa nafsi yangu kufanya hivyo, sitaweza kuanza sasa, lakini hawa wadada wanatesa sana wakigundua wanapoishi ni kama nyumbani kwao.
Nashukuru. Ndio nina msichana wa kazi na huyu ni wa pili toka nianze kuajiri (3 yrs ago). I have a boy aged 3yrs old so nilihitaji mtu wa kukaa na mtoto wangu while i am away at work. I usually don't take anyone younger than 18yrs old coz hao under-age wanasumbua sana. Msichana wangu wa kwanza aliondoka after a year and a half na akaenda kuanzisha mji wake. In between i worked as a househelp miaka ya nyuma so nafahamu fika mnayoyazungumzia hapa mpenzi.
....
Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.
Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?
Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?
sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.
Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........
Nawasalimu wana MMU.
Jamani tuna hawa wadada wanatusaidia kukaa na nyumba zetu.
Kama tujuavyo maisha ya siku hizi bila simu inakuwa patashika kidogo.
Huwa mdada akija kama hana simu huwa nampa simu ambayo nimeinunua kwa ajili ya nyumbani ili niweze kuwasiliana naye naye awasiliane nami ambapo sipo nyumbani.
Na kama inatokea mdada kaja na simu yake basi simlazimishi atumie ile yangu, huwa natumia tu ile namba yake kwa mawasiliano.
Kinachotokea mpaka naomba mwongozo hapa ni kwamba; Huwa nampa sh. 1000 kila wiki kwa ajili ya simu, ili akipata dharura basi aweze kunitaarifu. Mara nyingi mimi huwa napiga simu nyumbani mara kwa mara kwa hiyo inatokea mara nyingi tu ndani ya wiki hajanipigia wala kutuma sms hata moja, na yaweza kuwa hivyo hata mwezi mzima.
Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.
Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?
Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?
sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.
Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........
wanawake wengi wapo hivo....unaweza mtumia vocha ya elf 5 akakuandikia msg moja tu ya 'thanx'. baada ya hapo husikii chochote mpaka vocha uliyompa iishe ndo atabeep then anaomba vocha
Seriously?!!! Kweli some people are soo narrow minded!!! Hivi vitu vidogo vidogo kama sanitary pads, cjui ndala, chakula na soda unavihesabia kama favours unazompa msaidizi wako wa ndani?! Lord have mercy!
nawasalimu wana mmu.
Jamani tuna hawa wadada wanatusaidia kukaa na nyumba zetu.
Kama tujuavyo maisha ya siku hizi bila simu inakuwa patashika kidogo.
Huwa mdada akija kama hana simu huwa nampa simu ambayo nimeinunua kwa ajili ya nyumbani ili niweze kuwasiliana naye naye awasiliane nami ambapo sipo nyumbani.
Na kama inatokea mdada kaja na simu yake basi simlazimishi atumie ile yangu, huwa natumia tu ile namba yake kwa mawasiliano.
Kinachotokea mpaka naomba mwongozo hapa ni kwamba; huwa nampa sh. 1000 kila wiki kwa ajili ya simu, ili akipata dharura basi aweze kunitaarifu. Mara nyingi mimi huwa napiga simu nyumbani mara kwa mara kwa hiyo inatokea mara nyingi tu ndani ya wiki hajanipigia wala kutuma sms hata moja, na yaweza kuwa hivyo hata mwezi mzima.
Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.
Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?
Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?
Sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.
Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........
Kaka Ni vile wewe ni mwanaume so muda mwingi pakiwa na ishu hg atamweleza mama thuc why unaona kama wanabaniwa.utakuta pads ni gharama yako.hajaumwa.kanda mbili haijakatika umpe hela akashone. akiumwa wewe nguo zako umpatie zikikubana.ukienda kkoo shopping ya watoto lazma ununue chupi zake au bra akitaka kupunguza nguo kwa fundi wewe mafuta ya kujipaka mswaki wewe na hapo vyooooote ni nje ya mshahara so ukijumlisha vyote inawezafika hata 70000 elfu kumbuka anakula vizuri na wageni wakija soda zikiagizwa na yeye yke ipo pakulala+ hewa safiii anapata. sasa hajakuibia vichenchiii.unataka tuwapendaje sasa:what::what:ndo mana inabidi kumbana asikuzoee kivile na mwisho Wa mwezi anatiki mshiko umeingia aggghhπ so hakuna kumpa vocha just tafadhali nipigie inatosha
ha haaa, atanielewa unafikiri?