GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Mimi nimepost kwanzaMwenzako meya Wa Iringa aliua kwanza Ndio akapost
Why?Nina imani huyo ni nyoka wa mpira (rubbersnake) angekuwa Maliasili huo mwihindi ungekwanyuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemuona huyu nyoka shambani sasa naogopa nikimuua nitapata kesi. Naombeni wizara husika waje wamchukueView attachment 1413712
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndio KIFUTU hana shida na Mtu ila ukimkanyaga lazima akugonge na huo mguu bora ukatwe na ukileta ubishi unaoza taratiiibu mpaka tunakupa RIPNimemuona huyu nyoka shambani sasa naogopa nikimuua nitapata kesi. Naombeni wizara husika waje wamchukueView attachment 1413712
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe unaweza ibiwa kilaini sana kwa kwa camera zoom tu
Ok kwa hiyo ume zoom nyoka tu size ya mwihindi ikabakia ile ile au labda ni photo shopKumbe wewe unaweza ibiwa kilaini sana kwa kwa camera zoom tu