😂 😂 😂 😂 😂Rudisha hiyo simu mlipo iba
Ngoja tusubiri expert mkuu.
Mkuu simu haijaibwa na inamaelezo yote isipokuwa kwa mtu aliempatia kuirudisha ikawa tafrani hata hakumuomba password.. kaipeleka kwa Jamaa fulani kaifanyia factory reset lkn bado inaomba password to unlock!.. mkuu si wizi najua nachokifanya..😅Rudisha hiyo simu mlipo iba
Ngoja tusubiri expert mkuu.
bila pc pia inawezekna ila ukiwa na pc tunaitaga single click unamaliza mziki hiyo lock hua inaitwa frpKumbe mpk pc! Muda si mrefu namkabizi mzigo wake..😂
Mkuu kwa sahivi nilipo pc iko mbali kidogo.. kashanichosha muda si mrefu namkabizi mzigo wake akatafute mganga mwengine..kwani huyo alieifanya hivi yamemshinda nini na naambiwa alikuwa na pc Sasa Mimi kenge si ndo itakuwa tabu naona kama ndo nitaiongezea matatizo simu ya jamaa maana akili yangu naijua ilivyo balaa Tena nimetumia hekima kuja huku alasivyo sahivi tungekuwa tumeshikana mashati..😂😂bila pc pia inawezekna ila ukiwa na pc tunaitaga single click unamaliza mziki hiyo lock hua inaitwa frp
Mkuu Kama hiyo njia ya isiyotumia pc si ndefu ilete hapa ila iwe ni hiyo ya Samsung a10 lkn nisijeshikwa shati bure nikaanza kusema ningejua..🤣🤣😂bila pc pia inawezekna ila ukiwa na pc tunaitaga single click unamaliza mziki hiyo lock hua inaitwa frp
aaah kwa hiyo stuation simu hua haizimi fanya ivi fuata hii video itakupa tafu ungekua na pc ningefanya remoteMkuu kwa sahivi nilipo pc iko mbali kidogo.. kashanichosha muda si mrefu namkabizi mzigo wake akatafute mganga mwengine..kwani huyo alieifanya hivi yamemshinda nini na naambiwa alikuwa na pc Sasa Mimi kenge si ndo itakuwa tabu naona kama ndo nitaiongezea matatizo simu ya jamaa maana akili yangu naijua ilivyo balaa Tena nimetumia hekima kuja huku alasivyo sahivi tungekuwa tumeshikana mashati..😂😂
FanyaKuna mtu kaniletea simu yake hapa sumsung a10 ikiwa imefanyiwa factory reset lkn bado inadai password na hata email yake kaisahau!..
Wajuzi Kuna namna ipi ya kufanya hapa kutatua hili tatizo..???
Andaa 10,000/=Mkuu simu haijaibwa na inamaelezo yote isipokuwa kwa mtu aliempatia kuirudisha ikawa tafrani hata hakumuomba password.. kaipeleka kwa Jamaa fulani kaifanyia factory reset lkn bado inaomba password to unlock!.. mkuu si wizi najua nachokifanya..😅
SAMSUNG nyingi ni qualicum ata Ukikutana MTK haitoki kwa clack za nckKama umeifanyia factory reset na ilikuwa na frp hapo kuna njia kama mbili za kutoboa,
1. Google how to bypass google account hapa kichwa kiwe Sharp vinginevyo utakesha.
Kama hiyo simu yako inatumia chip za MTK tafuta crack za nck dongle ni single click hapa.
Kivip bronipo apa hiyo tunapepesa jicho tu uwe na pc tui bypass