eliasy JF-Expert Member Nov 9, 2012 455 53 Nov 25, 2012 #1 kuna program nimewekewa ya kutumia net bure. so ni mtandao au modem gani inaafaa kutumia ambayo iko fasta?
kuna program nimewekewa ya kutumia net bure. so ni mtandao au modem gani inaafaa kutumia ambayo iko fasta?
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Nov 25, 2012 #2 embu tupe hiyo prohgram na jina lake kwanza,
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,715 39,796 Nov 25, 2012 #3 hakuna kitu kama hicho kwamba uwe na program ya net bure kabla ya kujua mtandao au modem utakayotumia usipoteze muda wako
hakuna kitu kama hicho kwamba uwe na program ya net bure kabla ya kujua mtandao au modem utakayotumia usipoteze muda wako