witness aminie
Member
- Oct 25, 2011
- 7
- 0
Nina mdogo wangu,alifunga ndoa mwaka 2009 akaishi na mume mwaka 1 baada ya hapo wakatengana mwanaume alimfukuza kama mbwa na kufikia hatu ya kumpeleka polisi eti ameiba moja ya gar walizokuwa wamechuma pamoja,sasa huu ni mwaka wa pili hawaishi pamoja,sasa anauliza afanye nin?anahitaj vitu vyake alivyo acha kwa huyo mwanaume,na anaogopa kwenda kuchukua akihofia kufanyiwa unyama je afanye nin?