Naombeni msaada wenu

VISIONEER

Senior Member
Apr 29, 2011
141
20
Nimejaribu kufikiria nitume jukwaa gani nikashindwa lakini nikaona inawezekana nikapata msaada hata humu pia.

Mi ni kijana nina miaka 30,nimehangaika sana kutoka lakini sijafanikiwa vile nilivyotegemea kulingana na kipato changu ningekuwa mbali kimaendeleo.
Nimeshafanya kazi sana lakini kila ninapoajiriwa sikai na kazi mwaka mmoja najikuta inatokea tatizo na inanibidi labda nihame au niache kazi kabisa.
Matatizo makubwa ni ya wafanyakazi wenzangu.tatizo la mwisho lililonikuta ni mimi kutishiwa kuuawa na mfanyakzi mwezangu ikabidi niache kazi mwenyewe.

Mara nyingi naanza vizuri tuu huwa nakuwa na maelewano mazuri kazini au napendwa sana na managers wangu na huwa wanaaprreciate ninavyojituma kazini na utendaji kazi wangu.
Ila mwisho wake unakuwa mbaya na hii imeshatokea zaidi ya mara tatu na ni kazi ambazo zilikuwa zinaniingizia kipato kizuri.

Sasa najiuliza ni mkosi nimetupiwa au ni hali tu ya kawaida?au sijui namna ya kujiassociate na watu.nisaidieni jamani kwa sasa nataka kuelekea kukata tamaa lakini sipendi iwe hivyo maana ntaishije.

Ahsanteni
 
To me...naona kama unahitaji msaada wa kitaalam wa counsellor/psychologist/psychiatrist...sidhani kama ni tatizo la kupatiwa ufumbuzi kwenye forums kama hizi. Kwa sababu unaweza hitaji series of sessions where you can discuss issues kwa privacy zaidi na kupewa ushauri wa kitaalam. Huo ni matazamo wangu
 
Ahsante mkuu, unajua kushirikisha watu kuna umuhimu wanaweza kupa msaada wa kimawazo



to me...naona kama unahitaji msaada wa kitaalam wa counsellor/psychologist/psychiatrist...sidhani kama ni tatizo la kupatiwa ufumbuzi kwenye forums kama hizi. Kwa sababu unaweza hitaji series of sessions where you can discuss issues kwa privacy zaidi na kupewa ushauri wa kitaalam. Huo ni matazamo wangu
 
Ahsante mkuu, unajua kushirikisha watu kuna umuhimu wanaweza kupa msaada wa kimawazo

Ni kweli...lakini kwa msururu wa kazi ambazo umeacha au kulazimika kuacha, kutishiwa kuuawa...inanifanya nihisi kuwa kuna issues deeper than what you can express in an open forum like this. ndio maana nikadhani unahitaji consellor uwe na sessions kadhaa naye to help you through that. I had a patient like that when I was in medical school, I referred him to my Professor and he got so much better.
 
yeah as Riwa said. what you have just express is a very tiny part from the whole story. everything your facing or you have been going through is a compilation of so many things. from your personal life,... i mean how is your life style and how do u associate with your neighbors and other people in general, let alone in the office. being clever and punctual and being loved will MDs or lead to be employee of the months doesn't mean your good in evrything. i think you need to see a shrink and get down to it from the scratch. and "i mean from the scratch" say what was ur first job how did u get along with ur colleagues, how was ur life in collage , your childhood when u were living with your folks, (or whomever raised you) and so on. u see it is a giant chain like a life dialogue that you need to express to a very professional person in a very dedicated place at a very reasonable time with a very good desire or willing of finding yourself. and no offense but you cant do it in here. we are here let say for some kind of hours and never no if tomorrow i would be here same hours let alone to even remember your post. as you know ppl post new issues every minutes. you might get a shrink in here i am sure there are plenty. so try to find one and make an appointment.

Hope everything would fall on your favor and you will get through this. Gudluck
 
RIWA HAS A POINT UNLESS YOU SAY THAT HE SHOULD DIRECT YOU SOMEWHERE TO SOMEONE(TO BE SPECIFIC IF HE CAN).
KUNA VITU HAPO NAVITAZAMA;
1. RELATIONSHIP WITH YOUR CO-WORKERS
2. YOUR IN-BORN TRAITS/TABIA
3. YOUR ATTITUDES
4. RELATIONSHIP WITH YOUR BOSSES/MANAGERS
5. THE NATURE OF YOUR ORGANISATION

ushauri;
Tafuta mtu mzoefu preferably managers, directors, supervisors etc. wao watajua na watakuuliza maswali mengi na usifiche siri maana waweza kuwa shushushu ndo maana unachukiwa (i guess). nahapa huwezi anza kutuambia mambo ya usalama. so, as comrade Riwa has said, U HAVE TO SEE SOMEONE AND HAVE A SESSION.
 
Back
Top Bottom