naombeni msaada wenu wana jf!

Utampenda mwanamme kwa mengi kwaupande wangu kwanza tabia,mpole mwenye busara ,Hana papara kwenye Sita kwa Sita unapokua nae hata waje warembo kuliko mm yeye wala hawamshughulishi,anaejali mm na familia yangu japo kwa Salam ,mie Huyo Ana nibeba kwa kidole cha mwisho.


there you are bro...
 
Dia kila mwanaume ana vionjo vyake,ila kuna vitu general ambavyo asilimia kubwa ya wanaume wanapenda na kuvutiwa navo,kwanza heshima,kujiamin as a woman,mwelewa,mkweli,wivu wa kiac,mapnz ya dhati,kujituma na ubunifu kitandan bila kusahau usafi wako binafsi na ndan ya nyumba/rum,hawapendi mdomo,omba msamaha ukoseapo,jua kuhandle tempa zako,ucwe mbishi,kuwa na mashost wacoeleweka,ujue maisha nini na co kupenda starehe wakati wote,na kubwa zaidi kutulia kwenye mahusiano co kua na tamaa za kijinga.

there you are lady...
 
Dia kila mwanaume ana vionjo vyake,ila kuna vitu general ambavyo asilimia kubwa ya wanaume wanapenda na kuvutiwa navo,kwanza heshima,kujiamin as a woman,mwelewa,mkweli,wivu wa kiac,mapnz ya dhati,kujituma na ubunifu kitandan bila kusahau usafi wako binafsi na ndan ya nyumba/rum,hawapendi mdomo,omba msamaha ukoseapo,jua kuhandle tempa zako,ucwe mbishi,kuwa na mashost wacoeleweka,ujue maisha nini na co kupenda starehe wakati wote,na kubwa zaidi kutulia kwenye mahusiano co kua na tamaa za kijinga.
huo ndo ukweli hujakosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom