solja njeree
Senior Member
- Aug 27, 2013
- 175
- 94
Nimekua nikitatua mambo mengi yalionitatiza kupitia hapa nikapata ufumbuzi sahihi, leo pia nina hili,,,, WAKUU laptop yangu kila nikichat kuna batan hazitoi herufi zinatoa namba nashindwa kuchat kwamfano kwa juu kuna no moja hadi9, halafu huku chini kwenye herufi M, j, L pia kuna namba nataka kuzi lock nitumie za juu kama ilivyo kua mwanzo sas nashindwa, nikibinya m inatokea namba badala ya herufi m, nihilo tu kwa anae elewa naomba anisaidie