Beyport, platinum, fanikiwa, faidika, Macho credit, Tunakopesha Banc Abc ogopa sana
Apo wana riba za mpka 45% uku mabenk wana riba za 16% mpka 9%
Nkushauri tu achana na ao jamaa
Maana umejiingiza kwenye matatizo hawaruhusu kuuza deni lako au lifuta ata ukiwa na pesa ilo ni lako mkuu , utachelewa pata pesa kwa wakati na ukizingua wanaweza kukukata pesa ata ukimaliza mkopo wao
Uelewa wa mikopo ndo unawaua watu wengi elimu hawana