snboy
Member
- Apr 5, 2014
- 74
- 13
Wanajamvi habari.
Naomba msaada wenu. Ni sheria ipi inayotoa mwongozo wa taasisi za kibenki na makampuni ya kifedha kupanga riba katika kutoa mikopo? Kuna kampuni maarufu kama Bayport ambayo Director wake kwa hapa Tanzania ni Anna Mkapa inatoza riba hadi 100%. Sheria inasemaje katika hili? Msaada wenu tafadhali
Naomba msaada wenu. Ni sheria ipi inayotoa mwongozo wa taasisi za kibenki na makampuni ya kifedha kupanga riba katika kutoa mikopo? Kuna kampuni maarufu kama Bayport ambayo Director wake kwa hapa Tanzania ni Anna Mkapa inatoza riba hadi 100%. Sheria inasemaje katika hili? Msaada wenu tafadhali