Naombeni msaada wana JF


Huyo rafiki yangu alikuwa mkoani na hajui hata JF niliona badala ya kwenda Kibaha kuulizia madali kama alivyoniomba nikaona nitangaze namba yake ili awasiliane na hao madalali moja kwa moja endapo wataona namba yake.
 
Last edited by a moderator:

Unafike mpoa ngedhia jetu ha mlala ne vava.
 
Kuna rafiki yangu flani alitaka kuja dar kuanza maisha akawa ananiambia nimuulizie nyumba za nje ya mji ndipo nikaamua nimtangazie kwa namba yake ya simu hata hivyo aliamua kwenda Tanga kuanza maisha na hata hiyo namba aliicha kutumia.

Anatumia namba gani sasa? Tanga anafanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…