Naombeni msaada wa ushauri

Naombeni msaada wa ushauri

Mkuu kibinadamu hatuna uwezo wa kujua yaliyo mbele ya wakati wala yaliyo moyoni mwa binadamu mwenzetu

Hapa kila mtu atasema lake lakin bado haitosaidia kupata jawabu sahihi!

Labda nkuulize wakat mpo chuo alikuwaga yupo huru kuongea na wewe? Je! Alikuwa anapenda kuwa karibu na wewe?
Je wakati mnawasiliana alikua anatoa atention kwa kujali kukuelewesha usichoelewa kwa moyo au ilimradi tu?

Uliwahi kumweka wazi mshahara wako?,picha za nyumBani kwako? Na ofisini kwako?


Hebu nkuambie kitu mimi pia ni kiziwi bahati mbaya sijafanikiwa kutoka kimaisha,Demy naemsalandia always anafuatilia progress zangu za kutusua kuliko hata afya yangu najua nikitusua chaaap atanikubalia..!

Maisha ni magumu now mkuu naona anatafuta pa kujishikiza ila jua wazi akiwa chuon aliwapa nafasi wengine wewe akakuweka wa akiba!

Nakushauri usioe kwa kukurupuka ish nae umchunguze utalijua lengo lake...kila la kheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kibinadamu hatuna uwezo wa kujua yaliyo mbele ya wakati wala yaliyo moyoni mwa binadamu mwenzetu

Hapa kila mtu atasema lake lakin bado haitosaidia kupata jawabu sahihi!

Labda nkuulize wakat mpo chuo alikuwaga yupo huru kuongea na wewe? Je! Alikuwa anapenda kuwa karibu na wewe?
Je wakati mnawasiliana alikua anatoa atention kwa kujali kukuelewesha usichoelewa kwa moyo au ilimradi tu?

Uliwahi kumweka wazi mshahara wako?,picha za nyumBani kwako? Na ofisini kwako?


Hebu nkuambie kitu mimi pia ni kiziwi bahati mbaya sijafanikiwa kutoka kimaisha,Demy naemsalandia always anafuatilia progress zangu za kutusua kuliko hata afya yangu najua nikitusua chaaap atanikubalia..!

Maisha ni magumu now mkuu naona anatafuta pa kujishikiza ila jua wazi akiwa chuon aliwapa nafasi wengine wewe akakuweka wa akiba!

Nakushauri usioe kwa kukurupuka ish nae umchunguze utalijua lengo lake...kila la kheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu mimi bado sijajenga ndo najipanga Sasa Kama Mungu akinijalia mwaka huu niwe na kiwanja.Maisha yangu ya kawaida sana.

Chuoni tulikua tunaongea kawaida story za hapa na pale Ila nilipomtokea akawa mkali lakini nilikomaa ikafika wakati akanitamkia yeye ana mtu wake kwaiyo hapendi kunidanganya ila kwa sasa hivi ameniambia wameachana ndo maana anajisogeza kwangu nw.

Kweli kitaa maisha magumu nawaona rafiki zangu.
Nitazidi kuwa makini Mkuu.

Nawe nakuombea mkuu utatoka tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kutumia line
Date nae af tafta lijamaa pemben limtongoze akat uko nae

Mapenz ya kizaman hayo demu atakubali na atamegwa fresh hata akikataa siku zijazo lazma jamaa ammege huyo demu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mapenz ya kizaman hayo demu atakubali na atamegwa fresh hata akikataa siku zijazo lazma jamaa ammege huyo demu!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ndo anachotaka kujua
 
Hili nalo ni la kulileta humu kwelii msomi
 
Back
Top Bottom