Naombeni msaada wa kuchangiwa Bima ya Afya (NHIF) ili kuokoa maisha yangu

Pole sana mr John lakini mimi nashauri kama vipi ukachukue bima ya resolution ofisi zao zipo Victoria Makumbusho jengo la accacia kwa ghalama ya 86,000 ikusaidie kwanza
Asante...bima tayari wakuu wamenichangia humu, nikachukua ya NHIF ile kubwa ya Sh 1.5M.
Naitumia kwa huduma zote kasoro kwenye kusafisha damu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwa dialysis ya mwezi wa tatu bado nahitaji Sh 310,000.
Nimepata Sh 30,000 ya kesho Jumatatu baada ya hapo sitakuwa na salio kwa dialysis zijazo.
Namba zangu ni 0679047446 (Tigo Pesa) na 0767157788 (M-Pesa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry naomba kuuliza...ina mana hiyo dialysis hainaga mwisho???
Yani ndo itakua maisha yake yote?


Sorry kwa kuuliza maana mara yangu ya mwisho kuumwa ilikua 1997...sijawai kuumwa tena hata malaria mpaka leo hii...na mara yangu ya mwisho kwenda hospital kumcheki mgonjwa ilikua 2010......

aiseee toka siku ile niliheshimu sana kitu kinaitwa "afya njema". It was terrifying.
 
Mwisho wa dialysis ni pale figo zako zitakapo kubali kufanya kazi au utakapo badilishiwa figo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naombeni mchango wenu wa kifedha.
Dialysis ya mwezi huu wa tatu imekuwa ngumu sana kwani mpaka sasa nimesaliwa na Sh 30,000 tu kati ya 340,000 na mwezi haujaisha.
Kuna session 1 ya kufunga mwezi inadai Sh 55,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye kampuni ya ujenzi (majengo) class one au two tuwasiliane nimpe kazi.
Kampuni itoke Dar es Salaam
.
Simu: +255679047446
WhatsApp: wa.me/255767157788
 
Huyu mtu ni tapeli jamani, futeni tangazo lake anasema ajenga nyumba za halmashauri ya namtumbo
 
Huyu mtu ni tapeli jamani, futeni tangazo lake anasema ajenga nyumba za halmashauri ya namtumbo
Sasa akisema anajenga nyumba za almashauri ndiyo amekutapeli?
Je angekuomba pesa ungesemaje?
Kwa nini mnakimbilia kuchafua watu pasipo kujiridhisha?
Nilidhani naongea na mtu wa maana kumbe mbugila mmoja hivi
 
Mwenye kampuni ya ujenzi (majengo) class one au two tuwasiliane nimpe kazi.
Kampuni itoke Dar es Salaam
.
Simu: +255679047446
WhatsApp: wa.me/255767157788
Toa maelezo ya kina babaa, mradi project cost yake ni kiasi gani?
 
Wanalipa kwa wakati? au ndio ile unazika hela zako,kipindi cha kudai malipo mnaanza kukimbiana
 
Mbona maelezo yako yanajichanganya au unataka nikuwekee maongezi yako uliyokuwa unajichanganya, nenda ukawaibie hukohuko lkn kwa waelewa huwezi kuwapata,
 
Nenda kwa Mwamposa ukapone,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…