MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Hivi mtu akitumia chombo cha habari kutangaza au kuandika habari ambayo baadae mahakamani mtu huyu anakiri kuwa hana uhakika na alichoandika/kutangaza anachukuliwa hatua gani kwa mujibu wa sheria?