Naombeni msaada wa kimawazo

Naombeni msaada wa kimawazo

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,346
Kuna mtu anashida kapata mtoto na mdada ambaye hawajaafikiana kuoana sasa huyo dada anapewa matumizi na huyo kaka na nikwa kila kitu.

Sasa huyo kaka ni dhehebu jingine na yeye ni Mkatoliki?

Sasa mama wamtoto kamwambia baba mtoto nataka nikambatize mtoto Kikatoliki nanimeshampa jina.

Shida ni hii hapa atambatizaje mtoto ilihali baba sio mkatoliki?

Msaada jamani.
 
Waambie waoane kwanza, halafu watambatiza huyo mtoto kanisa watalooana...
 
Swala la makubaliano ya wazazi wasimchoshe huyo kiumbe,wakimvuruga sahivi nae atakuja kuwavuruga akikua!
 
SI amkataze Sasa Kama Bado hajambatiza..
 
Kesi ndogo hiyo; kama kijana hayuko tayari kuoa huyo binti, mtoto afuate dini ya mama na abatizwe huko.
 
Mtoto afuate dini ya mwenye shamba! Aliyepanda shambani kwa watu bila ruhusa hana haki ya kuvuna!
 
Kiuhalisia kama mwanaume ni Muisilamu,tunaita huyo mtoto ni wa haramu na ni wa mama peke yake baba hana sauti,na wa hana urithi kwa baba yake
 
Tafuta wa dhehebu lako kaka.

Wanawake wako wengi sana.

Wanaume wako wengi sana.

Acha kung'ang'ania kana kwwmba Mungu alikusemeza kuwa huyo ndio wako hutopata mwingine.
 
Tafuta wa dhehebu lako kaka.

Wanawake wako wengi sana.

Wanaume wako wengi sana.

Acha kung'ang'ania kana kwwmba Mungu alikusemeza kuwa huyo ndio wako hutopata mwingine.
 
Back
Top Bottom