mwaka wa 3 sija do na niko poa tu
Samboko asante kwa ushauriUtakua sio mzima wewe, kichokozea genye kimekufa kaweke kingine haraka sana kabla hujachanganyikiwa na kuanza kuchekacheka ovyo.
Ulieuliza swali humu huwezi kupata jibu sahihi. Mie ni mwezi mmoja tu ndo nakaa siwezi kukosa mautamu eti nikae miaka no.
mwaka wa 3 sija do na niko poa tu
Swali hili unataka lijibiwe kisayansi au kiuzoefu?
Kwa mwanamke mhemko hutegemea zaid mzunguko wa hedhi,wanaume hawana muda maalumu hutegemea na kishawishi kilichopo
mwaka wa 3 sija do na niko poa tu
ni miez minne ndo maana ht eda n cku 90 lkn pia ht serikal huweka lkzo za wafanyakaz kila baada ya miez 4
kisayansi
inategemea na mihemko yenu
mwanamke siku 1.
mwanaume 23hours.
ila ni kwanini umeuliza?
mwanamke siku 1.
mwanaume 23hours.
ila ni kwanini umeuliza?
Wewe mama muda gani ili nijue mapema lini nafaidi
Utakuwa msagaji