Naombeni msaada wa haraka

Naombeni msaada wa haraka

kama ukiona inawasha sana hebu itafutie mfuniko wa zege kama sewage tank...
 
kila mtu anawezakukaa muda anaotaka tu endapo akili yako utaifanya ikaepengine
 
Inategemea tabia za mtu mm mpaka sasa nina miaka miwil sijakutana na joto LA mwanamke
 
ni miez minne ndo maana ht eda n cku 90 lkn pia ht serikal huweka lkzo za wafanyakaz kila baada ya miez 4
 
Kiukweli ikiwa mwanamke hajawahi kukutana ki mwili na mwanaume anaweza kuchukua muda meefu lakini ikiwa ameshawahi kukifungua kipochi chake hawezi kufikisha miezi sita
 
Bila vishawishi milele. Na vishawishi zikiambatana na tamaa siku moja.
 
Ulieuliza swali humu huwezi kupata jibu sahihi. Mie ni mwezi mmoja tu ndo nakaa siwezi kukosa mautamu eti nikae miaka no.
 
Mwanamke anaweza akakaa hata milele bila kushiriki tendo la ndoa ikiwa hajaolewa...lakini anaweza kufanya ngono muda wowote na mtu yoyote...kwani tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ngono ni kwa waasherati...
 
Back
Top Bottom