Kiukweli ikiwa mwanamke hajawahi kukutana ki mwili na mwanaume anaweza kuchukua muda meefu lakini ikiwa ameshawahi kukifungua kipochi chake hawezi kufikisha miezi sita
Mwanamke anaweza akakaa hata milele bila kushiriki tendo la ndoa ikiwa hajaolewa...lakini anaweza kufanya ngono muda wowote na mtu yoyote...kwani tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ngono ni kwa waasherati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.