Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,814
Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi.
Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi.
Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.