Naombeni msaada wa haraka jamani, vinginevyo naumbuka

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,814
Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.

Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi.

Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
 
Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.

Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi. Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Unataka ushauri au mchnago. Oh umesema ushauri.
Wambie wachangie
 
Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.

Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi. Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Nenda tena chooni,afu pita hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom