wanajamii naombeni msaada maswali haya yanayonitatiza
Hivi ni LAZIMA kuwasaidia wazazi waliokulea?au si lazima kurudisha fadhila kwa maana lilikuwa jukumu lao kukulea?je mila zetu za kiafrika na dini zetu zinalitazamaje jambo hili?
Ni uungwana na ustaarabu tu!Kutokufanya hivyo ni sawa na kukosa shukrani!Kulikoni mpaka uulize haya?Umesaidiwa leo hii unaona tabu kurudisha fadhila?Kweli ubinadamu kazi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.