Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Liverpool_Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2019
Posts
1,220
Reaction score
1,417
Nina mshkaji wangu..
Ni best sanaa, tulikutana ajirani serikalini...

Baada ya kuona maisha ya ajira HAYAENDI tuliamua kuacha kazi na kufanya yetu, Mimi niliamua kwanza kwenda shule na yeye alianza kufanya yake (kujiajiri)...

Sasa nilivyo maliza chuo na kuanza na Mimi misele nilimkuta yupo mbali na kwa rehema za Mungu nilimkuta ana Mali kiasi (ukilinganisha na tulivyokua ajirani)....

Maisha yalisonga akaoa..

Ila Tabuu inakuja hapa...

Ndoa yao inamiaka mitatu na shemeji (mkewe) kapeleka ombi mahakamani la Talaka, kwa taarifa chini ya carpet "X wake wa China (alienda kusoma) karudi, then anataka kuhamia kwa X"...

Na anataka Mali zotee wagawane "MPAKA ZILE ALIZOMKUTA NAZO MSHIKAJI""

Rafiki yangu ye anasema "WATAGAWANA ZILE WALIZOCHUMA KWENYE NDOA YAO" ila alizomkuta nazo kama mashamba (Zaidi ya eka 50), nyumba ya biashara na ana miti mingii kapanda Njombe HATAKI WAGAWANE ila shemeji KAKOMAA ANATAKA 50 - 50..

NIMELILETA KWENU MJARIBU KUMSAIDIA...

Mwenye kujua anipe hata SECTIONS na ARTICLES za LAW niweze KUMSAIDIA MSHIKAJI WANGU.

Yaani ni MY BEST FRIEND BALAA..

TUMETOKA MBALI, NAMUONA KABISA ANAPOTEA KWA STRESS

Bia hazipandi tena..
Kitimoto ndio kabisa hataki...
Zile outing za kwenda kula nyama kwa wamasai ukimletea NOWDAYS anahisi kama unamng'ong'a....

Mtu pekee anayeweza Kuongea nae kwasasa ni Mimi tu wengine wotee hataki...

Yaani mpaka baadhi ya biashara zake nimechukua ili NIZIOKOE...

Sasa AMBAO MLIPITIA HAYA au MNAJUA HAYA MAMBO, TAFADHALINI "NAOMBA MNIPE DIRECTION NIMUOKEA MY BEST BROTHER IN THE WORLD""

#ASANTE
#YNWA
 
Sure huu utakuwa msaaada mkubwa ,,,Amtafute Mwanasheria then msaaada mkubwa wa kisheri ataupata hapa,,na talaka ina zingatia pia vigezo na mashart .
Ni Sheri tu hapo inaamua Ila jamaa agome kutoa talaka na akifika mahakamani aeleze sababu ya mkewe kutaka talaka, mahakama inaweza tupilia mbali madai hayo
 
Nina mshkaji wangu..
Ni best sanaa, tulikutana ajirani serikalini...

Baada ya kuona maisha ya ajira HAYAENDI tuliamua kuacha kazi na kufanya yetu, Mimi niliamua kwanza kwenda shule na yeye alianza kufanya yake (kujiajiri)...

Sasa nilivyo maliza chuo na kuanza na Mimi misele nilimkuta yupo mbali na kwa rehema za Mungu nilimkuta ana Mali kiasi (ukilinganisha na tulivyokua ajirani)....

Maisha yalisonga akaoa..

Ila Tabuu inakuja hapa...

Ndoa yao inamiaka mitatu na shemeji (mkewe) kapeleka ombi mahakamani la Talaka, kwa taarifa chini ya carpet "X wake wa China (alienda kusoma) karudi, then anataka kuhamia kwa X"...

Na anataka Mali zotee wagawane "MPAKA ZILE ALIZOMKUTA NAZO MSHIKAJI""

Rafiki yangu ye anasema "WATAGAWANA ZILE WALIZOCHUMA KWENYE NDOA YAO" ila alizomkuta nazo kama mashamba (Zaidi ya eka 50), nyumba ya biashara na ana miti mingii kapanda Njombe HATAKI WAGAWANE ila shemeji KAKOMAA ANATAKA 50 - 50..

NIMELILETA KWENU MJARIBU KUMSAIDIA...

Mwenye kujua anipe hata SECTIONS na ARTICLES za LAW niweze KUMSAIDIA MSHIKAJI WANGU.

Yaani ni MY BEST FRIEND BALAA..

TUMETOKA MBALI, NAMUONA KABISA ANAPOTEA KWA STRESS

Bia hazipandi tena..
Kitimoto ndio kabisa hataki...
Zile outing za kwenda kula nyama kwa wamasai ukimletea NOWDAYS anahisi kama unamng'ong'a....

Mtu pekee anayeweza Kuongea nae kwasasa ni Mimi tu wengine wotee hataki...

Yaani mpaka baadhi ya biashara zake nimechukua ili NIZIOKOE...

Sasa AMBAO MLIPITIA HAYA au MNAJUA HAYA MAMBO, TAFADHALINI "NAOMBA MNIPE DIRECTION NIMUOKEA MY BEST BROTHER IN THE WORLD""

#ASANTE
#YNWA
sheria ya ndoa inasema hivi mnagawana kile mlichochuma ndio sheria inavosema mimi nimeona kwa mama yangu na baba yangu so naelewa vizuri cha kufanya atafute mwanasheria, then atafute vithibitisho kama akiweza kama huyo mwanamke anataka kumuacha kisa x halafu pia mahakamani huwa wanaangalia sababu ya kuachana na nani ni mkorofi anzie kwenye ustawi wa jamii huku anapanda ngazi kidogo kidogo sheria haikandamizi hata kidogo na mwenye makosa ataonekana
 
😂 😂 😂 mnavyomuhurumia mpaka mnatia huruma 😂 😂 😂

Hakuna X wake wala nini huyo kaka atakuwa mnyanyasaji kisa anajiona anatumali.
Tungesikia huyo mke ana sababu gani mpka anadai talaka....
 
😂 😂 😂 mnavyomuhurumia mpaka mnatia huruma 😂 😂 😂

Hakuna X wake wala nini huyo kaka atakuwa mnyanyasaji kisa anajiona anatumali.
Tungesikia huyo mke ana sababu gani mpka anadai talaka....
acha ufala pumbavu nyie kujifanayga malaika na huku mbwa tuu...anajifanya ''anatumali''...fala sana watu kama nyinyi ndo mnafanya wengine waonekane ubaya na wanawake mnajifanyaga sana huwa hamkosei mbwa nyie
 
Juzi ofisini kwetu dada wakazi alikuwa anamali zake kabla ya kuoana na kilaza fulani baada ya mume wake kuwa na hawara nje akaenda akaomba talaka na mahakama ili muamuru yule mama wagawane mali zote pasu kwa pasu yule mama kagoma kuhangaika kwa muda mrefu ila hakushinda.
Kwa maana yule mama ndiye aliyekuwa na mali nyingi kushinda mumewe huyo basi wakauza kila kitu hadi nyumba wakagawana pasu kwa pasu hadi huruma ila kuna maujanja ya kufanikisha kesi hiyo ila kwangu mimi naogopa kusema hapa nisije nikaletewa noma .
 
Ni Sheri tu hapo inaamua Ila jamaa agome kutoa talaka na akifika mahakamani aeleze sababu ya mkewe kutaka talaka, mahakama inaweza tupilia mbali madai hayo
Sasa hivi inabidi kuazima sheria za wenzetu uko majuu, ukioa akakuta una assets kadhaa kama Shamba, nyumba, inabidi ziwekwe wazi kwenye karatasi la sheria, wakati tunaowana nilikukuta na kitu hiki au kile kama mambo hayataenda sawa basi hivyo vitu siwezi kuvigusa, mwenye kuvigusa ni watoto watakaopatikana kwenye ndoa. Ukiamua kusepa uwezi gusa hivyo vitu, utagusa vilivyopatikana ndani ya ndoa basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom