Wewe ushatoa huo msaada au ndio yale yale.Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..
Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Ndio mkuu. Zimekuja hizo gari zipo. Kama umewahi kusikia “KABADIRI GEAR ANGANI”. ndio hizo gariMe pia nashindwa kuelewamtu mpaka unaenda kuweka hela kwenye acc alafu unauziwa gari hewaaa
Ndio mkuu. Zimekuja hizo gari zipo. Kama umewahi kusikia “KABADIRI GEAR ANGANI”. ndio hizo gari
Sasa wewe badala ya kwenda police unakuja kushitaki humu kwa Melo
Na hiyo gari hewa ndio gari gani umeuziwa ikiwa kwenye puto au vipi
Usijali mkuu,hivi ndio ufumbuzi ndio unazidi kutafutwa hivyo. Usione watu wanacheka na nini,tayari watu wako kazini hivi. Usishangae hivi tayari ufumbuzi umeshapatikanaWatanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..
Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Huyo mwenye kipara pia. Huyo mwenye kipara,kazi yake ni moja tu,ukishtuka kutapeliwa unajaa mikononi hapo,kazi inakuwa imeishaSura zingine zinaonyesha tu, maana matapeli kama una udhoefu nao utawajua
Hasa hiyo njemba aliye vaa miwani pole kamanda
Nimeamua kukaa kimya, Mkuu.. Yule ajifanyae anajua kumbe hajui ni MJINGA..Wewe ushatoa huo msaada au ndio yale yale.
Sasa hapo utamsaidiaje?Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..
Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Yaani ukafanya biashara na sura kama hizo
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli
Nimeamua kukaa kimya, Mkuu.. Yule ajifanyae anajua kumbe hajui ni MJINGA..
Kabisa! Na Wamekuja na kibegi cha kuwekea pesa daah, mjini hapaHuyo mwenye kipara pia. Huyo mwenye kipara,kazi yake ni moja tu,ukishtuka kutapeliwa unajaa mikononi hapo,kazi inakuwa imeisha
haswaaaaaaa.....Sasa hapo utamsaidiaje?
Hakuna maelezo yeypte zaidi ya picha.
-Gari hewa kauziwaje? Je hilo gari analo au hana? Hewa anamaanisha Bovu au?
-Kaibiwa sehemu gani? Dar au Mkoani?
-Nani alimuunganisha na hao matapeli? Alikutana nao online au?
-Kuna taratibu gani alizifuata za mauziano?
Yeye anasema story ni ndefu hawezi kuiandika basi ampigie simu mshana kisha mshana ataandika yote na watayaweka kwenye main post.