Naombeni msaada nimetapeliwa

Bwana bunazi Hawa jamaa kutokana na maelezo yake aliwapata kupatana. Com
Huko kwenye yard alipopelekwa walimpanga, kingine bwana bunazi jiji hili yeye alikuwa mgeni
Ila kwa speed anayoenda atawadaka
Mzee baba Ukwaju siku zote mjinga wakati wa kwenda tu wakati wa kurudi ushajua njia

Ova
 
Sasa wewe gari umenunulia bar, ulitegemea nini?
 
Halafu ni mijitu mizima kabisa man, linchi limejaa wajinga wajinga wengi sana.

Shame of them motherfuckers
 
Yaani huyo mtu kwa kumtazama tu ni anaonyesha ni tapeli πŸ˜€
 
Walimtapeli marehem mama yangu.
tena pesa ya matibabu!
Sio watu wazuri kabisa waepuke.. sijui huwa wanatumia nini..lkn wana uwezo wa kukuzubaisha pia!
Mahesabu tu ,hakuna lolote
 
Pole yake bunazi kwani yupo humu kuanzia 2014 tunapowashtua Member sijui anakuwa wapi
mwisho tunatukanwa kwa kuziba riziki
Mtu anatangaza Gari na kaweka Namba
kwa nini usiende TRA yoyote kujiridhisha?
basi chukua namba zake linganisha na Kadi au na muuzaji km ni ya showroom
ingia mtandao wa Traffic utaiona na muhoji mbona hujailipia deni LAZIMA atakimbia
ingia BIMA tiramis muulize inadaiwa lazima atakimbia maana vinapishana na simu yake
Dalali kila siku wana mbinu kibao
mrangi umemsaidia sana km hataleta mrejesho basi, agangamale humu kwa picha tu wameshajulikana na majina lazima wamrudishie vijisent vyake
mwisho bunazi nenda kwa Mambosasa au nduguyo Paul Makonda
 
Toa ufafanuzi Wa kutosha ilikuwaje?
 
Wasomee Albadiri mkuu watakutafuta wenyewe
 
Yaani ukafanya biashara na sura kama hizo🀣🀣🀣
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeliπŸ˜‚πŸ˜‚
Ni hatari sana inatupasa kuwa makini kwa sasa hali ni ngumu hadi matapeli wazidi kubuni mbingu nyingi zaidi
 
sometimes Δ±natakiwa kujiridhisha Kwanzaa then ndo ufanye manunuzi au ufanye biashara

Wahehenga si wajinga kusema fikiri kabla ya kutenda na tenda baada ya kufikiri
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na coments za kijinga zinapata likes kama zote. Hiki ni kipimo kamili cha aina ya watu waliomo kwenye jamii.
Problem solvers hutawapata kamwe, ndio sababu watu wengi wanapenda short cuts, vitu feki n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…