Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Sioni tatizo hapo kama wazazi wameridhia mahusiano yenu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Dah, kisicho riziki hakiliki

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mim pia ni mlokole unaonaje kama ukaachana na uyo ukaambatana namim tufunge ndoa

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Umechanganyikiwa siyo kwa sababu ya yaliyotokea kwenye huo uchumba, umechanganyika kwa sababu hutaki kuijua kweli!!...... ukiijua kweli nayo kweli itakuweka huru!!...... Kwa kifupi tu ni kwamba hayo yaliyokukuta ni gharama(cost) ya kuokoka!!..........wewe ulifikiri kuokoka kwako hutalipa gharama(cost) yeyote??.... labda nikukumbushe tu kuwa kila jambo zuri lina cost yake!!...... Hayo yaliyokukuta ndo cost yako ya kuokoka unayopasa kuilipa kwa hiyo tulia and bear it!!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
 
poleeee yeue yupo tayari kubadili dini au wewe upo tayari kubadili
Hayupo aliyetayari kufata dini ya mwenzake

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
wachungaji kwako ni washauri tuu tena wa masuala ya kiroho, wewe ndio muamuzi wa mwisho kama umesha jua wewe na mchumba wako mtafungaje ndoa, na mta ishije baada ya ndoa na mna pendana wala hakuna shida. kama wazazi wako washa ridhia ndio vzuri zaid

ila kwa hapo ujue tayari usha achana na watu wa kanisani kwako kwa maana kwa hilo hawawez kukuruhusu, so jiondokee taratib ukaolewe au kataa ndoa ubaki.
maamuzi juu yako
 
Umechanganyikiwa siyo kwa sababu ya yaliyotokea kwenye huo uchumba, umechanganyika kwa sababu hutaki kuijua kweli!!...... ukiijua kweli nayo kweli itakuweka huru!!...... Kwa kifupi tu ni kwamba hayo yaliyokukuta ni gharama(cost) ya kuokoka!!...... labda nikukumbushe tu kuwa kila jambo zuri lina cost yake!!...... Hayo yaliyokukuta ndo cost yako ya kuokoka unayopasa kuilipa kwa hiyo tulia and bear it!!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Huu in ukweli mchungu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Fata moyo wako. Wazazi Kama wameridhia na wewe upo tayari. Hamna shida

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kwanza kabisa dada weye huna dini yeyote ile. Huko kwenye ulokole uliwasindikiza rafiki zako tu. Msichana aliye okoka kamwe hawezi hata kumwangalia huyo muisilamu wako. Kwa sababu hujui hata maana ya ulokole ndo maana unasema ati wazazi hawana shida. Wewe unaolewa pamoja na wazazi wako au unaolewa kwa hao wazazi wake?? Umri wako ni chini ya miaka 8?? Usiwalete wazazi hapo.
Ninachokijua ni kuwa, kama kweli unajijua, utawasikiliza viongozi wako wa kiroho. Namhurumia huyo mchungaji kwani si ajabu kila siku ukikutana na huyo mchumba vyupi lazima vishushwe. Mwisho utaanza kutema mate halafu utauacha huo ulokole kwani kwako hauna faida.
Usiokoke ili uolewe wala usisilimu ili uolewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom