Chrispino Henry
Senior Member
- Mar 29, 2017
- 107
- 66
Binafsi natamani kusoma ila ada kwangu ndio changamoto. Naombeni mnisaidie nyie wajuzi wa mambo ili nipate Scholarship ya kwenda kusoma. Me na diploma yenye GPA ya 3.1 hivyo naombeni sana ushauri wenu.