Mara nyingi kupata ufadhili wa nje ni hadi uwe na merits nzuri, sidhani kama G.P.A ya 3.1 inaweza ikakutoa
Kila la kheri mkuu!Sawa boss ngoja nijaribu zaid
Una level gani ya Elimu Mimi nilikuepo na GPA ya 3.2 ya undergraduate na nilipata schoolarship ya kwenda kusoma Thailand MSc. 2019 niligraduate katika chuo kimoja kikubwa na kikongwe MSc .Mimi G.P.A yangu ni 3.0 naanzaje nipate kusoma Thailand au ufilipino
Saaana hilo tunalizingatia, tutamshauri vipnmtu mwelevuMtu akikosea mnajua kushauri sana
mzee umechange IDMtu akikosea mnajua kushauri sana
We ukasome sitimbi huko mbele utatutia aibu.. scolership kwiyo!!
Why Canada? Unajua kuna nchi nyingine kuingia ni easy tu ila wengi tunafuata mkumbo.
VISA ya Canada itakuchukua miaka 6 kuipata au usipate kabisa au ukitane na matapeli humu wajifanye wanakufanyia mpango halafu walambe vilaki vyako kadhaa.
Una level gani ya Elimu Mimi nilikuepo na GPA ya 3.2 ya undergraduate na nilipata schoolarship ya kwenda kusoma Thailand MSc. 2019 niligraduate katika chuo kimoja kikubwa na kikongwe MSc .
Saaana hilo tunalizingatia, tutamshauri vipnmtu mwelevu
Una level gani ya Elimu Mimi nilikuepo na GPA ya 3.2 ya undergraduate na nilipata schoolarship ya kwenda kusoma Thailand MSc. 2019 niligraduate katika chuo kimoja kikubwa na kikongwe MSc .
hahahahUnaongea Kama umekalia kitu chenye ncha kali
Vip mkuu..na ww umepata schoolarship ??Aisee!
Wangari nifungulie PMVip mkuu..na ww umepata schoolarship ??
Dogo mbona ukishachat na mm inakua open muda wote? Njoo wasap basWangari nifungulie PM
Mmh Nilizi clear chat zoteDogo mbona ukishachat na mm inakua open muda wote? Njoo wasap bas