Naombeni msaada ma- i.t

Naombeni msaada ma- i.t

Christafari

Senior Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
117
Reaction score
13
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia inahesabu nyingi sana ni ngumu. .kutokana na kutokufahamu kuhusu mambo ya i.t imebidi niwaulize wana jamvi wazoefu wa haya mambo. Nahitaji msaada wenu . Shukrani.
 
Usiwe na hofu yoyote,kama ni kuisoma wewe nenda kaisome. Kwanza huyo anayekuambia haina ajira,je alikutajia programme yenye kutoa ajira sana? Na pia kama alikuambia ina hesabu nyingi huyo je alikutajia masomo ambayo utakwenda kuyasoma?
Ushauri wangu kwako ni:
1. Ukiwa pewa ushauri chuja sana tena sana.
2. Fanya unachopenda kufanya.
3. Programmes zenye kutoa ajira Tanzania ni mbili tu. Education yaani ualimu na Afya hususani udaktari.
Kama ukitaka kujua hiyo programme ikoje na masomo utakayosoma ingia kwenye website ya www.muccobs.ac.tz na cheki prospectus utaona kwa kina hiyo degree.
 
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia inahesabu nyingi sana ni ngumu. .kutokana na kutokufahamu kuhusu mambo ya i.t imebidi niwaulize wana jamvi wazoefu wa haya mambo. Nahitaji msaada wenu . Shukrani.
Hao wealiokushauri na kuiponda inawezekana wakawa sahihi au si sahihi,pili huwa sielewi kwa nini watu mnogopa Mathematics,inasadikika kwamba mtu anayejua hesabu hata masomo mengine hayatamsumbua sana labda kama hayapendi.
IT ninayoijua mimi inabidi uwe unajua hesabu,labda kama mtasoma topic zote ziwe "introduction to...".
Walioiponda inawezekana wamesoma hapo au wanawafahamu waliosoma hapo na wanawaona hawajapata kazi,kitu ambacho mimi binafsi sikipendi ni kwamba kila chuo siku hizi wanafundisha IT courses,kufundish IT courses sina tatizo nalo,je wanaofundisha wako fiti kwenye IT au wanagawa notice kwa wanafunzi?Mtu anasoma IT mwaka wa 2/3 hata binary/hexadecimal/decimal number conversion hajui?
Ushauri wangu fuatilia wanaofundisha wako fiti,na kama unaweza kuonana na wanao soma hapo watakupa majibu mazuri zaidi,kingine kama unataka kusoma mambo ya technology tafuta vyuo vinavyohusika/vimekuwa vinahusika na technology muda mrefu na si vyuo vinavyofundisha mambo ya technology ili kupata wanafunzi wakati walimu wazuri hakuna.
Angalizo,course nyingi siku hizi zina keyword "IT" kwani kwa dunia ya sasa huwezi kukwepa ufahamu wa technology hata kama unasoma business,sheria etc,lakini IT inayofundishwa ni "for non-majors" ni kama introduction tu.
Kuhusu course kuwa na ajira usipende kulipa kipau mbele,unaweza enda kusoma kozi yenye ajira nyingi leo,by the time unamaliza chuo kozi hiyo hailipi,kama alivyokwambia NEW NOEL ualimu na mamboy ya afya yatakuwa na uhakika wa ajira muda mrefu,kwa kifupi kazi yeyote inayohusika na kumhudumia binadamu direct itakuwa na ajira kwa muda mrefu.
 
IT haitakiwi kuwa na hesabu ngumu yoyote, labda kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya.
Ila omba syllabus maana wabongo hawachelewi kuchomeka hesabu ili mradi.
Ni fikra potovu kuwa kufanya IT inahitaji kujua hesabu, hata kwenye programming hesabu ni chache sana.
 
Nadhani vyuo tulivyosoma viko tofauti na material wanayofundisha yanatofautiana na inawezekana hata kazini tukatofautiana kwa sababu tulivyofundishwa kwenye IT ni tofauti.

Wewe ni IT,unadesign network,naamini hata subnet mask kuipata utafanya logic "ANDing" mambo ya logic,samahani siongelei default subnet mask mlizozizoea bila kujua zilipatikana je(255.255.255.0).1+1 siyo 2,ni 0 na unaenda na 1 kichwani(mambo ya primary).Sasa mtu kama hesabu ni tatizo leo umwambie 1+1 siyo 2 wakati yeye hiyo ndiyo hesabu nyepesi kwake.Ukipewa Ip addreeses kujua kama ziko kwenye network moja unahitaji kufanya some logic ANDing,hapo watanielewi wanaojua "subnetting na supersubnetting".Kama ninachozungumza ni level za juu mseme niache kupoteza muda wangu.Huo ni mfano mdogo tu upande wa Network,au ndiyo mambo ya "paper ilikuwa nyepesi,majibu yakija "round about".

Tukija programming,kama hujui hesabu na unatengeneza program inayotambua kwamba a certain number is divisible by 5,mimi ninayejua maths nafahamu kwamba number itagawanyika kwa tano ikiwe "last digit ni 5 au zero" so programme yangu itakuwa inaangalia 'last digit ya input data".Kwa mfano 20 inagawanyika kwa 5 kwa sababu last digit ni zero,75 inagawanyika kwa tano kwa sababu last digit ni 5.

Namba itagawanyika kwa tatu ikiwaje?namba itagawanyika kwa tatu ikiwa jumla ya namba zinazoitengeza jibu lake litagawanyika kwa tatu,mfano 21 inagawanika kwa tau (2+1=3),81 inagawanyika kwa tatu(8+1=9),249 inagawanyika kwa tatu(2+4+9=15).Sasa ukiwa kilaza wa Maths utaweza kuandika hiyo program?Tuwe makini tusije tukaonekana watu wa IT wote,tiatia maji.
Computer inatumia binary numbers,herufi zote na alama za kwenye computer zina code,sasa ukiambiwa uandike program ya kubadilisha small leters to capital letter utatumia geography?
Namba shufa zote zina pattern fulani ukiziandika kama binary,.....
IT umepewa kazi utengeneze system kwa ajiri ya shule fulani,ichukue matokeo yao,itoe matokeo yao nani wa kwanza na wa mwisho wastani wao,wanafunzi wangapi wamefail,passmark iwe ipi ili waliofaulu wawe 126 tu?.Je unaweza kufanya hii project kama statistics hujui?formula za average?standard deviation?
Kwa kifupi hesabu inahusika kuimprove reasoning capacity ya mtu hasa kwenye haya masomo ya technology.
Si lazima wote tuone kitu kimoja, it depends unaangalia from which angle.
Mwana IT una flash ya 1Gb ukiulizwa ni sawa na Mb,Byte au bits ngapi,unatokwa na macho.Siyo lazima wote tusome IT,tunaweza kuwa hata waigizaji kuna fan nyingi tu.
Samani najua hesabu wengi ni tatizo la kitaifa,inawezekana nimetonyesha vidonda.Please I apologyze

NB:"I respect the fact that we differ and every one is unique in his or her own way".If two people agree in everything one of them is not thinking.
 
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia inahesabu nyingi sana ni ngumu. .kutokana na kutokufahamu kuhusu mambo ya i.t imebidi niwaulize wana jamvi wazoefu wa haya mambo. Nahitaji msaada wenu . Shukrani.

Mimi nadhani kwa Bongo hamna Kazi ya kusema ina ajira wala haina maana kama ingekuwa haina kulipa wasingekuwa wanafundisha watu mavyuoni so wewe nenda kasome na sio mpaka usikie inalipa maana ni wewe na Grade yako ndio itakayokulipa Bwandugu kama yeye amepata Class ya chini ndio maana anaona haimlipi asitake kukuchonja na wewe
Kasome tu kwa moyo mmoja na matunda yake utaja yaona baadae Nchi bado inakuwa na Viwango vya malipo vinazidi ongezeka kila leo
 
ulichsguliwa coz kuwa makini kama hujui pure mathematics habari yako imeisha
 
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia inahesabu nyingi sana ni ngumu. .kutokana na kutokufahamu kuhusu mambo ya i.t imebidi niwaulize wana jamvi wazoefu wa haya mambo. Nahitaji msaada wenu . Shukrani.

Didgrii yoyote ni dili sana kinachomata ni akili yako tu! Usiwaze kuajiriwa baba!
 
Nadhani vyuo tulivyosoma viko tofauti na material wanayofundisha yanatofautiana na inawezekana hata kazini tukatofautiana kwa sababu tulivyofundishwa kwenye IT ni tofauti.

Wewe ni IT,unadesign network,naamini hata subnet mask kuipata utafanya logic "ANDing" mambo ya logic,samahani siongelei default subnet mask mlizozizoea bila kujua zilipatikana je(255.255.255.0).1+1 siyo 2,ni 0 na unaenda na 1 kichwani(mambo ya primary).Sasa mtu kama hesabu ni tatizo leo umwambie 1+1 siyo 2 wakati yeye hiyo ndiyo hesabu nyepesi kwake.Ukipewa Ip addreeses kujua kama ziko kwenye network moja unahitaji kufanya some logic ANDing,hapo watanielewi wanaojua "subnetting na supersubnetting".Kama ninachozungumza ni level za juu mseme niache kupoteza muda wangu.Huo ni mfano mdogo tu upande wa Network,au ndiyo mambo ya "paper ilikuwa nyepesi,majibu yakija "round about".

Tukija programming,kama hujui hesabu na unatengeneza program inayotambua kwamba a certain number is divisible by 5,mimi ninayejua maths nafahamu kwamba number itagawanyika kwa tano ikiwe "last digit ni 5 au zero" so programme yangu itakuwa inaangalia 'last digit ya input data".Kwa mfano 20 inagawanyika kwa 5 kwa sababu last digit ni zero,75 inagawanyika kwa tano kwa sababu last digit ni 5.

Namba itagawanyika kwa tatu ikiwaje?namba itagawanyika kwa tatu ikiwa jumla ya namba zinazoitengeza jibu lake litagawanyika kwa tatu,mfano 21 inagawanika kwa tau (2+1=3),81 inagawanyika kwa tatu(8+1=9),249 inagawanyika kwa tatu(2+4+9=15).Sasa ukiwa kilaza wa Maths utaweza kuandika hiyo program?Tuwe makini tusije tukaonekana watu wa IT wote,tiatia maji.
Computer inatumia binary numbers,herufi zote na alama za kwenye computer zina code,sasa ukiambiwa uandike program ya kubadilisha small leters to capital letter utatumia geography?
Namba shufa zote zina pattern fulani ukiziandika kama binary,.....
IT umepewa kazi utengeneze system kwa ajiri ya shule fulani,ichukue matokeo yao,itoe matokeo yao nani wa kwanza na wa mwisho wastani wao,wanafunzi wangapi wamefail,passmark iwe ipi ili waliofaulu wawe 126 tu?.Je unaweza kufanya hii project kama statistics hujui?formula za average?standard deviation?
Kwa kifupi hesabu inahusika kuimprove reasoning capacity ya mtu hasa kwenye haya masomo ya technology.
Si lazima wote tuone kitu kimoja, it depends unaangalia from which angle.
Mwana IT una flash ya 1Gb ukiulizwa ni sawa na Mb,Byte au bits ngapi,unatokwa na macho.Siyo lazima wote tusome IT,tunaweza kuwa hata waigizaji kuna fan nyingi tu.
Samani najua hesabu wengi ni tatizo la kitaifa,inawezekana nimetonyesha vidonda.Please I apologyze

NB:"I respect the fact that we differ and every one is unique in his or her own way".If two people agree in everything one of them is not thinking.

Sidhani kama kucalculate subnets inahaitaji kuweza hesabu, hii ni procedure tu ambayo unaweza kuielewa na kuifanya kivyake although ipo based kwenye math.

Kutafuta average na SD nayo ni basic Math ya kujumlisha na kugawanya, kutokujua formula unayotakiwa kutumia sio tatizo in real life programming unaweza kuilook up mara moja.

Kujua kama namba inagawanyika kwa namba nyingine hii ni simple divison kama remainder ni zero basi inagawanyika i.e 81/3 = 27 with no remainder maana yake inagawanyika, hakuna haja ya makaratee. Na kwenye most programming languages kuna operator ya % unaweza kuitumia kupata remainder moja kwa moja.

Hizo GB na MB nayo ni hesabu ya kuzidisha au kugawanya ili mradi ujue kuwa GB ni MB 1024.

Nadhani tunaongelea vitu viwili tofauti sana tunaposema hesabu mimi na wewe, mimi naongelea hesabu "ngumu" Calculus, Diff Equations, Trigonometry, Matrix, Complex Numbers etc ambazo ndo nategemea mtu anaweza akaogopa kuchukua kozi kwa sababu yake, kujumlisha na kugawanya lazima atakauwa ameshasoma kabla ya kuingia chuo.
Vyote hivo walitulazimisha kusoma Computer Science lakini in real life 95% ya programmers hawatawahi kuvitumia, IT ndo kabisa.
 
Pia usiwe na mentality ya kuajiriwa tu ukimaliza masomo yako. Unaweza kujiajiri pia.
 
Nadhani vyuo tulivyosoma viko tofauti na material wanayofundisha yanatofautiana na inawezekana hata kazini tukatofautiana kwa sababu tulivyofundishwa kwenye IT ni tofauti.

Wewe ni IT,unadesign network,naamini hata subnet mask kuipata utafanya logic "ANDing" mambo ya logic,samahani siongelei default subnet mask mlizozizoea bila kujua zilipatikana je(255.255.255.0).1+1 siyo 2,ni 0 na unaenda na 1 kichwani(mambo ya primary).Sasa mtu kama hesabu ni tatizo leo umwambie 1+1 siyo 2 wakati yeye hiyo ndiyo hesabu nyepesi kwake.Ukipewa Ip addreeses kujua kama ziko kwenye network moja unahitaji kufanya some logic ANDing,hapo watanielewi wanaojua "subnetting na supersubnetting".Kama ninachozungumza ni level za juu mseme niache kupoteza muda wangu.Huo ni mfano mdogo tu upande wa Network,au ndiyo mambo ya "paper ilikuwa nyepesi,majibu yakija "round about".

Tukija programming,kama hujui hesabu na unatengeneza program inayotambua kwamba a certain number is divisible by 5,mimi ninayejua maths nafahamu kwamba number itagawanyika kwa tano ikiwe "last digit ni 5 au zero" so programme yangu itakuwa inaangalia 'last digit ya input data".Kwa mfano 20 inagawanyika kwa 5 kwa sababu last digit ni zero,75 inagawanyika kwa tano kwa sababu last digit ni 5.

Namba itagawanyika kwa tatu ikiwaje?namba itagawanyika kwa tatu ikiwa jumla ya namba zinazoitengeza jibu lake litagawanyika kwa tatu,mfano 21 inagawanika kwa tau (2+1=3),81 inagawanyika kwa tatu(8+1=9),249 inagawanyika kwa tatu(2+4+9=15).Sasa ukiwa kilaza wa Maths utaweza kuandika hiyo program?Tuwe makini tusije tukaonekana watu wa IT wote,tiatia maji.
Computer inatumia binary numbers,herufi zote na alama za kwenye computer zina code,sasa ukiambiwa uandike program ya kubadilisha small leters to capital letter utatumia geography?
Namba shufa zote zina pattern fulani ukiziandika kama binary,.....
IT umepewa kazi utengeneze system kwa ajiri ya shule fulani,ichukue matokeo yao,itoe matokeo yao nani wa kwanza na wa mwisho wastani wao,wanafunzi wangapi wamefail,passmark iwe ipi ili waliofaulu wawe 126 tu?.Je unaweza kufanya hii project kama statistics hujui?formula za average?standard deviation?
Kwa kifupi hesabu inahusika kuimprove reasoning capacity ya mtu hasa kwenye haya masomo ya technology.
Si lazima wote tuone kitu kimoja, it depends unaangalia from which angle.
Mwana IT una flash ya 1Gb ukiulizwa ni sawa na Mb,Byte au bits ngapi,unatokwa na macho.Siyo lazima wote tusome IT,tunaweza kuwa hata waigizaji kuna fan nyingi tu.
Samani najua hesabu wengi ni tatizo la kitaifa,inawezekana nimetonyesha vidonda.Please I apologyze

NB:"I respect the fact that we differ and every one is unique in his or her own way".If two people agree in everything one of them is not thinking.
Computer science nakubari inahitaji kichwa kizuri cha math kwa vile logic nyingi zina applications za math. Lakini IT Darasa la saba lipo more than enough. Halafu 1 + 1 != 0 hakuna kubeba moja kichwani, jibu lake ni 10, mfano: 00000001 + 00000001 = 00000010 just for fun!
 
Tuwe makini na maneno tunayotumia kuwasiliana na watu maneno kama
"I think ,may be" it means you are not sure.
Kama nilivyo omba msamaha mwanzoni najua inawezekana nimetonesha vidonda ila ukweli haubadiliki.Si lazima kila mtu aone unachokiona wewe."Two people may differ and both be right" and I respect that,so let us differ.

Angalia hiyo picha hapo chini,kila mtuanaweza akaona kitu tofauti kutegemeana na mtazamo wake.

4411667789_dd22e7fe74.jpg



Ni kweli vitu vingi watu wanasoma chuo na hawavitumii kutokana na mazingira yetu ila ukweli utaendelea kubaki palepale.
Kumbe ndiyo maana siku hizi utasikia vyuo vinasema hata uwe na "D" zote powa tu,na wanakuhakikishia ajira.Nilitegemea watu muwashauri vijana wakomae na shule,mnawa encourage kuwa vilaza.
Program ya kuandika "Hello world" hii hauhitaji kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri.Mifano niliyotoa ni midogo sana sasa mtu anaitumia kama reference.Sina muda wa kuelezea,endeleeni na imani zenu.
kwenye hiyo picha hapo juu kuna picha mbili ya mdada mrembo na mbibi,kama unaona moja tu ndiyo niliyoyasema,si wote tunaona wenzetu wanachoona.
Kama hawa ndiyo maexpert wa Tz tutaishia kutengeneza vi website tu na viprogramme vidogovidogo "average people","Think Big".
I am out of this thread.
 
Kitu nilichojifunza shuleni ni kwamba hakuna shule inayoweza kukufanya uwe smart ila inakufunulia njia mbadara ya kutumia kile kilichomo kichwani mwako.
 
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia inahesabu nyingi sana ni ngumu. .kutokana na kutokufahamu kuhusu mambo ya i.t imebidi niwaulize wana jamvi wazoefu wa haya mambo. Nahitaji msaada wenu . Shukrani.

Chukua unachoweza kukihimili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom