- Thread starter
- #21
Hiyo gia naiyogopa Ninaweza kumkosa mtoto hiv hiv kimasihara kwa nasra kunibania.
Hiyo gia naiyogopa Ninaweza kumkosa mtoto hiv hiv kimasihara kwa nasra kunibania.
Lol,Wewe ujaelewa Sina uhusiano wa mapenzi na nasra sema nasra ananitaka kimapenzi ingawa me moyo wangu haupo kwake me namtaka rafiki yake na rafiki yake Sina number ya simu nasijui ana kaa wapi kiufupi sijui details zake so only way ya kupata ni kwa nasra
Nipe ushauri nifanyeje au niingie kwa gia ipi?Lol,
You missed all the fun.
Ina maana mabaria mmeshindwa kunipa njia kwel?Naona unataka kuvunja urafiki wa watu.
Unataka kujua umri wangu ili iweje?Una umri gani kijana?
Tafuta siku uwape zawadi wote wawili zawadi ya huyo umtakaye weka ujumbe wako.Ina maana mabaria mmeshindwa kunipa njia kwel?
Kwenye saikolojia umri ni muhimu sana. Hatuwezi kukushauri kwa dozi ya mtoto wa miaka 16 kumbe wewe una miaka 45Unataka kujua umri wangu ili iweje?
Tatizo la nyinyi mnaouliza umri mkishatajiwa umri Kama umri wangu ni mdogo kuliko wako mnatumia hiyo kigezo kunyanyasa Mara utasikia nenda shule dogo maneno fulani yakuuzi Uzi.By the way me Nina miaka 23.Kwenye saikolojia umri ni muhimu sana. Hatuwezi kukushauri kwa dozi ya mtoto wa miaka 16 kumbe wewe una miaka 45
Umri wako unatosha kabisa kupata dozi kubwa ya ushauri. Kwanza usimuoneshe huyo anayekupenda kuwa unampenda Rafiki yake kwa kuwa ata-block chance ya kuonana nae. Cha kufanya jenga mazoea na wote wawili ili siku ya siku upate namba yake. Hata kama ukipata namba inabidi uwe mwangalifu sana maana unaweza kuwakosa woteTatizo la nyinyi mnaouliza umri mkishatajiwa umri Kama umri wangu ni mdogo kuliko wako mnatumia hiyo kigezo kunyanyasa Mara utasikia nenda shule dogo maneno fulani yakuuzi Uzi.By the way me Nina miaka 23.
Wanaume tumeumbwa na tamaa ni ngumu Sana kuwa na mwanamke mmoja angalau uwe na watatu au wawili ili ukishindwana na mmoja unapata kwingine kwa kujishikiza kuliko kuwa na mmoja alafu ukishindwana naye uanze upya kutafuta mwingine hiyo haimake sense.Yule uliyemuhonga kilo mbili za unga WA ugali vipi? Ameenda kupika ugali
Kama ipo ipo' kama haipo hata ukijinafikisha haipo. Unapoteza muda na tamthilia. Mwambie nimempenda rafiki yako unanisaidiaje?So unataka nijitoe mzima mzima?si number hapo nitakosa
Namba yake io Happ 114 mpigie! Lakn enzi zetu simu hazikuwepo ungempataje huyo shombeshombeNduguzanguni
Me nimetokea kumpenda demu mmoja ambaye ana rafiki yake wa kike anaitwa nasra.wote wawili ni shombe shombe tatizo linakuja moja nasra ana nipenda Sana me simpendi ila ninampenda rafiki yake na ili kupata number yake au kujua anapokaa Sina other way zaidi ya kupitia nasra nimejaribu kufikiria nimeshindwa kupata gia ya kuingia kwa nasra kupata hivyo vyote bila yeye kujua kwamba ninampenda rafiki yake so naombeni msaada mabaria lakini sio mbaya kama nikapata pia maoni ya wanawake wa humu jamvini.
ANGALIZO: Tuwe serious jamani kwenye hili