Usikurupuke, Wacomoro sasa hivi wamejaa Dar, tafuta taarifa sahihi.Napenda kufanya biashara Comoros ya kupeleka mbuzi mwenye uzoefu wa hii biashara naomba msaada wake na biashara nyingne pia ambazo mtaji wake maximum M15, awe mzoefu anae kwenda kila siku.