Naombeni msaada kurudi bongo

Aisee umenikumbusha bro mmoja alienda ugiriki lakini alivyorudi alirudi hana hata begi la nguo..nguo alizitia kwenye Rambo..

1800usd ni hela ya mboga tu ya siku chache..Ni bora uendelee kubaki huko..
 
Mkuu Samahani, hivi """Kubeba box""" ndo kufanyaje??? Nasikia sikia hili neno...ila sijajua lina maana gani?
 
Kwanza huko ulipo unafanya kazi gani ? Usikimbilie hapa Bongo Vyuma vimekaza sana ndio Slogan ya Mujini
 
Hakuna unachoweza kufanya bongo kwa hiyo 1800 kama hauna lolote.....


Na kwa maelezo ya mtoa mada anataka aishi anavyoishi ughaibuni.

Kama ni mimi ningeamua nifie hapo alipo na hata wanaonijua wqsijue kisa cha kufariki kwangu.

Huu pia ushauri mzuri
 
Hahaha...mkuu kwa hizo dola 1800 nenda upareni kapange chumba cha elfu 20 kwa mwezi then lima mboga mboga kwenye shamba ulilo nunua eka moja laki 5...Lima mboga mboga ili upate chakula ukikosa ugali utakula mboga zako. Hamna namna hata kusafiri kwenda same na Moshi inabidi uombe lifti mkuu maana ukitumia hiyo ela yako kulipa nauli za mizunguko tutakuzika mapema maana utakufa kwa pressure.
 
1800 au 18,000?? Kama ni 1800 huwezi kuishi unavyotaka
Over
 
Labda tujifunze kwenye hili,ukiondoka maintains contact na bongo,Ila simshangai ukiwa ughaibuni na una familia halafu huna kazi proffesional ni vigumu sana kusave pesa...anyway uko ughaibuni ya wapi unialike...
Tehteh...Rebeca bhana...

Jirani yako...Weekend nyingine karibu
 
Mkuu Samahani, hivi """Kubeba box""" ndo kufanyaje??? Nasikia sikia hili neno...ila sijajua lina maana gani?

Kufanya kazi za kibarua ukiwa ughaibuni kwenye mabohari viwandani, kwenye ujenzi na kwingine kwaitwa kupiga boksi.

Kwenye mabohari kama Amazon, unakuwa na ujuzi wote wa kutumia mitambo ya kisasa ya aina zote, khasa chombo cha forklift ambacho ni lazima uwe mtaalam wa "counter balance".

Kuna vyombo vingine kama scissor lift, Gennie na spider crane ambazo hutakiwa kutumia akili kuviendesha.
 
That's peanut bro,komaa tu na kuendesha madaladala huko huko.
 
Labda tujifunze kwenye hili,ukiondoka maintains contact na bongo,Ila simshangai ukiwa ughaibuni na una familia halafu huna kazi proffesional ni vigumu sana kusave pesa...anyway uko ughaibuni ya wapi unialike...πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‰πŸ˜‰

Becky,

Kuweka akiba kunategemea kipato cha baba na mama ingawa mama hufanya kazi kiasi kutokana na majukumu ya ulezi.

Sasa baba kama hupati angalau euro 2000 kwa mwezi hiyo ni shida kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…