Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,596
- 19,019
AtajijuuuHahaha dada, huyo yeye anataka KURUDI, wewe unamshauri ASIRUDI. Inaonekana fursa aliyokuwa nayo inaishia ukingoni, sasa anaanza kuwaza kurudi ALIKOTOKA. Labda kazi anayofanya haina hizo benefits, Maana nasikia nchi hizo za ughaibuni zinapambana na wahamiaji haramu, wale illegal, wasio na vibali vya kuishi huko kihalali. Je, ikiwa ni miongoni mwa hao, Still atapata hizo benefits au bora arudi nyumbani kama alivyoomba kushauriwa nama ya ku survive hapa kwetu.
Ukila nafaka utakufa?
Huku matajiri hizo nafaka ndiyo chakula chao kikuu.
Halafu Tanzania usipokula wali,ugali utakula Nini!
Sikiliza old Pugu boy huna hela ya kuacha kula nafaka hiyo hela yako ukija nayo huku utapata nayo shida tu.
Wewe unataka kudanganya watuUkishapata usd 500 kwa wiki, ukishalipa tax? Na ukishalipa medicare insurance? car insurance? childcare? pocket money ya watoto? leisure activities za watoto? kula chakula kizuri? kunabaki usd ngapi?
au unataka niishi nakula nafaka nisave pesa? kama hujui maisha ya huku siyo lazima useme lolote.
Huyo anawatania dereva anayeendesha Basi kama UDA analipwa £500 kwa wiki bado overtime. Na nyumba kodi 75 kwa wiki ya serikali na binafsi ni 100 asiwapotezee muda
Mkuu acha mawazo potofu, watu tunabeba box haijarishi kwa namna ipi, tuna mpango kwamba ikifika 30,000 USD ndo turudi Tanzania kusettle japo tumeshaweka vibanda tz,Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Kama kashindwa kusaka maisha huko aje afe tu huku.Si mda mrefu atatamani arudi Uko,huku kila kitu ni feki,kuanzia maisha mifumo yote nk.Kabla ya kuchukua maamuzi ya kuja Tz, tafakari kwanza kwamba hiyo 51yrs unarudi kuanza kutafuta maisha huku bongo au kuendeleza maisha uliyonayo,,,,,,Tafakari usijefia Airport!
Makengeza upo?Dar karibu sana Bongo hyo 1500 mbona ndogo. Ila bora urudi tu nyumbani uanze upya ungejuaga ungerudi ukiwa na nguvu. Sisi wenyewe twapambana kibishi bishi maisha yakaendelea.
Nipo umepotea ulitekwa nini. Mimi na makengeza yangu na damshi tuMakengeza upo?
Miss you xoow much
Hongera kwa kumaliza form four,Nipo umepotea ulitekwa nini. Mimi na makengeza yangu na damshi tu
Asante kwa pongezi.Hongera kwa kumaliza form four,
Sijatekwa nipo ubize tu
Hiyo $1800 tayari ushalala ticket au nauli pia hujatoa?Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Hongera kwa maamuzi mema,Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Umewahi kuishi ughaibuni?Mkuu, tulia tu huko huko na hizo dola buku na mianane zako, maisha yamebadilika sana sana mambo yanaenda kasi sana tangu 1992, wewe endelea kukata vitunguu na kubeba mabox huko, game ya TZ ni mziki mwingine.
Pole sana mkuu....Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Mpe assist we tajir..mtz mwenzetu arudiOooh!! My friend!are you serous about $1800?I try to ask you in English language..
If yes, I will advise you something..