Tunakokwenda itabidi mwizi akuombe umfungulie kabisa au akukate vidole. Technologia inakua.Utafanya watu wKatane vidole mkuu
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Antonneyj, Mrudishie mwenyewe, ukiiba simu kwa sasa iba na vidole vyake. Simu zinafunguliwa kwa finger prints.
๐๐๐๐๐๐Nanye Go, Utafanya watu wakatane vidole mkuu ๐๐๐
Jaribu kutumia hotspot ku activate usitumie bando la simu yako.Naombeni msaada upande wa Apple touch ID haiwezi kufunguka.
Inaweza kua tatizo la software au hardware?
Shida apo ni Internet,iphone iko complicated sana kwenye utumizi wa data..update zake au ku activate ni mpaka utumie Wifi na syo bando uliloweka kwenye simu!!Jaribu nilivyokwambia,am using iphone too.Inaweza kua tatizo la software au hardware?
Sio ya wizi ila ni refurbished phone nilinunua online Kikuu online shop china